< Zaburi 64 >

1 Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
Til Sangmesteren; en Psalme af David.
2 Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
Gud! hør min Røst i min Klage, bevar mit Liv fra Fjendens frygtelige Magt.
3 Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
Skjul mig for de ondes lønlige Raad, for deres Forsamling, som gøre Uret,
4 ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
som skærpe deres Tunge som et Sværd; de skyde deres Pil, det bitre Ord,
5 Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
for i Skjul at skyde den retsindige; hastelig skyde de paa ham og frygte ikke.
6 Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
De styrke sig i deres onde Handel, de fortælle, hvorledes de ville skjule Snarer; de sige: Hvo kan se dem?
7 Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
De udtænke Misgerninger, de fuldkomme, hvad de nøje udtænke: Ja, enhvers Inderste og Hjerte er et Dyb.
8 Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
Men Gud skyder paa dem; Pilen kommer hastigt, den bliver deres Saar.
9 Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
Og de skulle falde for deres Tunges Skyld; hver, som ser paa dem, skal fly langt bort.
10 Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.
Og alle Mennesker skulle frygte og forkynde Guds Gerning og forstaa, at det er hans Værk. Den retfærdige skal glædes i Herren og forlade sig paa ham; og alle oprigtige i Hjertet skulle prise sig lykkelige.

< Zaburi 64 >