< Zaburi 63 >
1 Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
Yahuda kırlarında bulunduğu zaman - Davut'un mezmuru Ey Tanrı, sensin benim Tanrım, Seni çok özlüyorum, Canım sana susamış, Kurak, yorucu, susuz bir diyarda, Bütün varlığımla seni arıyorum.
2 Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
Kutsal yerde baktım sana, Gücünü, görkemini görmek için.
3 Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
Senin sevgin yaşamdan iyidir, Bu yüzden dudaklarım seni yüceltir.
4 Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
Ömrümce sana övgüler sunacağım, Senin adınla ellerimi kaldıracağım.
5 Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
Zengin yiyeceklere doyarcasına doyacağım sana, Şakıyan dudaklarla ağzım sana övgüler sunacak.
6 nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
Yatağıma uzanınca seni anarım, Gece boyunca derin derin seni düşünürüm.
7 Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
Çünkü sen bana yardımcı oldun, Kanatlarının gölgesinde sevincimi dile getiririm.
8 Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
Canım sana sımsıkı sarılır, Sağ elin bana destek olur.
9 Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
Ama canımı almak isteyenler, Yerin derinliklerine inecek,
10 watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
Kılıcın ağzına atılacak, Çakallara yem olacak.
11 Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.
Kralsa Tanrı'da sevinç bulacak. Tanrı'nın adıyla ant içenlerin hepsi övünecek, Yalancıların ağzıysa kapanacak.