< Zaburi 63 >

1 Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
Псалом Давиду, внегда быти ему в пустыни Иудейстей. Боже, Боже мой, к Тебе утренюю: возжада Тебе душа моя, коль множицею Тебе плоть моя, в земли пусте и непроходне и безводне.
2 Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
Тако во святем явихся Тебе, видети силу Твою и славу Твою.
3 Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
Яко лучши милость Твоя паче живот: устне мои похвалите Тя.
4 Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
Тако благословлю Тя в животе моем и о имени Твоем воздежу руце мои.
5 Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
Яко от тука и масти да исполнится душа моя, и устнама радости восхвалят Тя уста моя.
6 nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
Аще поминах Тя на постели моей, на утренних поучахся в Тя:
7 Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
яко был еси помощник мой, и в крове крилу Твоею возрадуюся.
8 Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
Прильпе душа моя по Тебе: мене же прият десница Твоя.
9 Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
Тии же всуе искаша душу мою: внидут в преисподняя земли: (questioned)
10 watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
предадятся в руки оружия, части лисовом будут.
11 Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.
Царь же возвеселится о Бозе: похвалится всяк кленыйся Им, яко заградишася уста глаголющих неправедная.

< Zaburi 63 >