< Zaburi 63 >

1 Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
Ein Psalm Davids, als er in der Wüste Juda war. O Gott, du bist mein Gott: dich suche ich,
2 Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
So hab’ ich nach dir im Heiligtum ausgeschaut, um deine Macht und Herrlichkeit zu erblicken;
3 Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
denn deine Gnade ist besser als das Leben: meine Lippen sollen dich rühmen.
4 Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
So will ich dich preisen mein Leben lang, in deinem Namen meine Hände erheben.
5 Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
Wie an Mark und Fett ersättigt sich meine Seele, und mit jubelnden Lippen lobpreist mein Mund,
6 nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
so oft ich deiner gedenke auf meinem Lager, in den Stunden der Nacht über dich sinne;
7 Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
denn du bist mir ein Helfer gewesen, und im Schatten deiner Flügel darf ich jubeln.
8 Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
Meine Seele klammert sich an dich, aufrecht hält mich deine rechte Hand.
9 Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
Doch sie, die nach dem Leben mir trachten, mich zu verderben, sie werden in der Erde unterste Tiefen fahren.
10 watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
Man wird sie der Schärfe des Schwerts überliefern; die Beute der Schakale werden sie sein.
11 Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.
Der König dagegen wird Gottes sich freuen: Ruhm wird ernten ein jeder, der bei ihm schwört; den Lügnern dagegen wird der Mund gestopft werden.

< Zaburi 63 >