< Zaburi 63 >

1 Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
Judah khosoek ah a om vaengkah David tingtoenglung Pathen namah tah ka Pathen ni. Namah ni kan toem coeng. Namah te ka hinglu loh halthi tih, ka pumsa loh namah te a hue, Diklai ah he rhamrhae neh buhmueh rhathih, tui mueh la om.
2 Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
Tedae na sarhi neh na thangpomnah hmuh ham hmuencim ah nang kan dan.
3 Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
Na sitlohnah he hingnah lakah then tih ka hmuilai he nang taengah domyok ti uh saeh.
4 Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
Te dongah ka hingnah neh nang kan uem vetih, na ming neh ka kut ka thueng ni.
5 Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
A th a neh maehhloi bangla ka hinglu hah vetih ka ka loh omngaih laa kah hmuilai neh a thangthen ni.
6 nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
Ka rhaenghmuen lamkah loh nang kan poek vaengah nang te hlaempang pakhat puet kan mangtuk.
7 Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
Kai ham bomnah la na om dongah na phae hlip ah ka tamhoe.
8 Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
Nang dongah ka hinglu pangnal tih kai he na bantang kut loh n'duel.
9 Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
Amih loh ka hinglu pocinah ham a mae uh dae diklai hmui la kun uh bitni.
10 watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
cunghang kut ah pat uh vetih maetang buham la om uh ni.
11 Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.
Tedae, manghai tah Pathen rhang neh a kohoe ni. Amah dongah ol aka caeng boeih te a thangthen vaengah laithae aka thui kah a ka te a biing pah ni.

< Zaburi 63 >