< Zaburi 62 >

1 Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; wokovu wangu watoka kwake.
A minha alma espera somente em Deus: dele vem a minha salvação.
2 Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa kamwe.
Só ele é a minha rocha e a minha salvação; é a minha defesa; não serei grandemente abalado.
3 Mpaka lini, ninyi nyote, mtamshambulia mtu, ili kwamba mumpindue yeye kama ukuta ulio inama au kama fensi isiyo imara?
Até quando maquinareis o mal contra um homem? sereis mortos todos vós, sereis como uma parede encurvada e um valado bambaleante.
4 Wanashauliana naye ili tu kumshusha chini kutoka kwenye nafasi yake heshimiwa; wao wanapenda kuongea uongo; wanambariki yeye kwa midomo yao, lakini mioyoni mwao wana mlaani yeye. (Selah)
Eles somente consultam como o hão de derribar da sua excelência: deleitam-se em mentiras; com a boca bendizem, mas nas suas entranhas maldizem (Selah)
5 Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; kwa maana matumaini yangu yako kwake.
Ó minha alma, espera somente em Deus, porque dele vem a minha esperança.
6 Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa.
Só ele é a minha rocha e a minha salvação; é a minha defesa; não serei abalado.
7 Na Mungu ni wokovu wangu na utukufu wangu; mwamba wa nguvu yangu na kimbilio langu salama liko katika Mungu.
Em Deus está a minha salvação e a minha glória: a rocha da minha fortaleza, e o meu refúgio estão em Deus.
8 Mwaminini Mungu wakati wote, ninyi watu; mimina moyo wako mbele zake; Mungu ni kimbilio salama kwa ajili yetu. (Selah)
Confiai nele, ó povo, em todos os tempos; derramai perante ele o vosso coração; Deus é o nosso refúgio (Selah)
9 Hakika watu wenye msimamo mdogo ni ubatili, na watu wenye msimamo mkubwa ni waongo; wao watakuwa wepesi kwenye mzani; uzito wao pamoja ni wepesi kuliko kitu chochote.
Certamente que os homens de classe baixa são vaidade, e os homens da ordem elevada são mentira; pesados em balanças, eles juntos são mais leves do que a vaidade.
10 Usiamini katika ukandamizaji au wizi; usitumainie utajiri, maana hawatazaa matunda; usiuweke moyo wako kwenye hivyo.
Não confieis na opressão, nem vos ensoberbeçais na rapina; se as vossas riquezas aumentam, não ponhais nelas o coração.
11 Mungu ameongea mara moja, mara mbili nimesikia hili: nguvu ni za Mungu.
Deus falou uma vez; duas vezes tenho ouvido isto: que o poder pertence a Deus.
12 Pia kwako, Bwana, ni uaminifu wa agano, maana humlipa kila mtu kwa kile alichokifanya.
A ti também, Senhor, pertence a misericórdia; pois retribuirás a cada um segundo a sua obra.

< Zaburi 62 >