< Zaburi 62 >

1 Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; wokovu wangu watoka kwake.
Pour Idithun, psaume de David. Est-ce que mon âme ne sera pas soumise à Dieu? car c’est de lui-même que vient mon salut.
2 Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa kamwe.
Car lui-même est mon Dieu et mon sauveur, mon soutien, je ne serai plus ébranlé.
3 Mpaka lini, ninyi nyote, mtamshambulia mtu, ili kwamba mumpindue yeye kama ukuta ulio inama au kama fensi isiyo imara?
Jusques à quand fondrez-vous sur un homme? chercherez- vous tous ensemble a le détruire, comme vous feriez à une muraille qui penche, et à un mur sec qui s’écroule?
4 Wanashauliana naye ili tu kumshusha chini kutoka kwenye nafasi yake heshimiwa; wao wanapenda kuongea uongo; wanambariki yeye kwa midomo yao, lakini mioyoni mwao wana mlaani yeye. (Selah)
Car ils ont songé à me dépouiller de ma dignité: j’ai couru dans ma soif. De leur bouche ils me bénissaient, et de leur cœur ils me maudissaient.
5 Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; kwa maana matumaini yangu yako kwake.
Cependant, sois soumise à Dieu, ô mon âme, puisque de lui vient ma patience.
6 Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa.
Parce que lui-même est mon Dieu et mon sauveur: mon aide, je n’émigrerai pas.
7 Na Mungu ni wokovu wangu na utukufu wangu; mwamba wa nguvu yangu na kimbilio langu salama liko katika Mungu.
En Dieu est mon salut et ma gloire: il est le Dieu de mon secours, et mon espérance est en Dieu.
8 Mwaminini Mungu wakati wote, ninyi watu; mimina moyo wako mbele zake; Mungu ni kimbilio salama kwa ajili yetu. (Selah)
Espérez en lui, vous tous qui composez l’assemblée de son peuple; répandez devant lui vos cœurs: Dieu est notre aide pour l’éternité.
9 Hakika watu wenye msimamo mdogo ni ubatili, na watu wenye msimamo mkubwa ni waongo; wao watakuwa wepesi kwenye mzani; uzito wao pamoja ni wepesi kuliko kitu chochote.
Mais les fils des hommes sont vains; les fils des hommes sont faux dans leurs balances; afin de tromper ensemble par vanité.
10 Usiamini katika ukandamizaji au wizi; usitumainie utajiri, maana hawatazaa matunda; usiuweke moyo wako kwenye hivyo.
Gardez-vous bien d’espérer dans l’iniquité, et gardez-vous bien de désirer des rapines: si les richesses vous affluent, gardez-vous bien d’y attacher votre cœur.
11 Mungu ameongea mara moja, mara mbili nimesikia hili: nguvu ni za Mungu.
Dieu a parlé une fois, j’ai entendu ces deux choses: que la puissance est à Dieu,
12 Pia kwako, Bwana, ni uaminifu wa agano, maana humlipa kila mtu kwa kile alichokifanya.
Et à vous, Seigneur, la miséricorde: que vous rendrez à chacun selon ses œuvres.

< Zaburi 62 >