< Zaburi 62 >

1 Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; wokovu wangu watoka kwake.
Au chef des chantres. Sur ledouthoun. Psaume de David. Mon âme, mets toute ton attente en Dieu, de lui vient mon salut.
2 Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa kamwe.
Lui seul est mon rocher, mon soutien, mon boulevard: je ne trébucherai pas sérieusement.
3 Mpaka lini, ninyi nyote, mtamshambulia mtu, ili kwamba mumpindue yeye kama ukuta ulio inama au kama fensi isiyo imara?
Jusqu’à quand vous ruerez-vous contre un homme, lui porterez-vous tous des coups mortels, tels un mur penché, une cloison qui s’écroule?
4 Wanashauliana naye ili tu kumshusha chini kutoka kwenye nafasi yake heshimiwa; wao wanapenda kuongea uongo; wanambariki yeye kwa midomo yao, lakini mioyoni mwao wana mlaani yeye. (Selah)
Oui, ils projettent 'de le précipiter de sa hauteur, ils se complaisent dans le mensonge; avec leur bouche ils bénissent, et dans leur cœur ils maudissent. (Sélah)
5 Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; kwa maana matumaini yangu yako kwake.
En Dieu seul mets ton attente, ô mon âme; car en lul est mon espoir.
6 Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa.
Lui seul est mon rocher, mon soutien, mon boulevard; je ne trébucherai point.
7 Na Mungu ni wokovu wangu na utukufu wangu; mwamba wa nguvu yangu na kimbilio langu salama liko katika Mungu.
Sur Dieu reposent mon salut, mon bonheur; il est mon puissant rocher, mon abri est en Dieu.
8 Mwaminini Mungu wakati wote, ninyi watu; mimina moyo wako mbele zake; Mungu ni kimbilio salama kwa ajili yetu. (Selah)
Fiez-vous en lui en tout temps, ô peuples! Epanchez votre cœur devant lui: Dieu est un refuge pour nous. (Sélah)
9 Hakika watu wenye msimamo mdogo ni ubatili, na watu wenye msimamo mkubwa ni waongo; wao watakuwa wepesi kwenye mzani; uzito wao pamoja ni wepesi kuliko kitu chochote.
Certes, les fils d’Adam ne sont qu’une ombre vaine, les fils de l’homme qu’une déception. Qu’on les mette sur la balance: ensemble ils pèsent autant qu’un souffle!
10 Usiamini katika ukandamizaji au wizi; usitumainie utajiri, maana hawatazaa matunda; usiuweke moyo wako kwenye hivyo.
Ne mettez pas votre confiance dans la concussion, et dans! a rapine ne placez pas un vain espoir. Dût la richesse couler à pleins bords, n’y attachez pas trop d’importance.
11 Mungu ameongea mara moja, mara mbili nimesikia hili: nguvu ni za Mungu.
Une fois Dieu l’a énoncé, deux fois je l’ai entendu: que la puissance appartient à Dieu.
12 Pia kwako, Bwana, ni uaminifu wa agano, maana humlipa kila mtu kwa kile alichokifanya.
Oui, Seigneur, tienne est la bonté, car tu rémunères chacun selon son œuvre.

< Zaburi 62 >