< Zaburi 62 >

1 Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; wokovu wangu watoka kwake.
Na da Gode Ea na gaga: ma: ne gebewane ouesala. Na da Ea fawane hamoma: ne ouesala.
2 Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa kamwe.
Ea fawane da na gaga: sa. E da na Gaga: sudafa. Amaiba: le na da enoga hamedafa hasali dagoi ba: mu.
3 Mpaka lini, ninyi nyote, mtamshambulia mtu, ili kwamba mumpindue yeye kama ukuta ulio inama au kama fensi isiyo imara?
Nama ha lai huluane, dilia! Na gasa da gagoi gadelale sa: i, amo defele gala. Amaiba: le, habowali seda dilia da nama doagala: ma: bela: ?
4 Wanashauliana naye ili tu kumshusha chini kutoka kwenye nafasi yake heshimiwa; wao wanapenda kuongea uongo; wanambariki yeye kwa midomo yao, lakini mioyoni mwao wana mlaani yeye. (Selah)
Dilia da udigili fawane amo nama, na nodosu sogea amogainini gudu sa: ima: ne hamosa amola dilia da ogogole nodosu hamosa. Dilia da nama nodoma: ne sia: sia: sa, be dilia dogo ganodini da nama gagabusa.
5 Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; kwa maana matumaini yangu yako kwake.
Na da Godema fawane fa: no bobogesa. Na dafawane hamoma: beyale dawa: su da Ema fawane gala.
6 Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa.
Gode Hisu fawane da na Gaga: sudafa gala. Amaiba: le na da enoga hamedafa hasali dagoi ba: mu.
7 Na Mungu ni wokovu wangu na utukufu wangu; mwamba wa nguvu yangu na kimbilio langu salama liko katika Mungu.
Gode Hi fawane da hamonanebeba: le, na da gaga: i dagoi, amola eno dunu da nama nodone dawa: sa. E da na Gaga: su gasa bagadedafa gala. E da na ougihalesisu gala.
8 Mwaminini Mungu wakati wote, ninyi watu; mimina moyo wako mbele zake; Mungu ni kimbilio salama kwa ajili yetu. (Selah)
Na dunu! Eso huluane Godema dafawaneyale dawa: ma! Dilia bidi hamosu huluane Ema adoma! Bai E da ninia wamoaligisu sogebi gala.
9 Hakika watu wenye msimamo mdogo ni ubatili, na watu wenye msimamo mkubwa ni waongo; wao watakuwa wepesi kwenye mzani; uzito wao pamoja ni wepesi kuliko kitu chochote.
Osobo bagade dunu huluane da mifo afae fulabolesibi agoai gala. Dunu bagade amola fonobahadi huluane, da defele hamedei amola wadela: i gala. Ilia da dioi defesu da: iya ligisili ba: sea, dioi defesu da heda: i hamedafa ba: sa, ilia da mifo fulaboi afae ea hagi defele hagi gala.
10 Usiamini katika ukandamizaji au wizi; usitumainie utajiri, maana hawatazaa matunda; usiuweke moyo wako kwenye hivyo.
Dilia dafawaneyale dawa: su amoga gasa fili, eno dunu banenesimusa: mae dawa: ma. Liligi wamolale bagade gagumusa: mae dawa: ma. Amola dilia liligi gagui da bagade heda: sea, amoma bagade mae fa: no bobogema.
11 Mungu ameongea mara moja, mara mbili nimesikia hili: nguvu ni za Mungu.
Na da Gode Ea agoane sia: be enoenoia nabi. “Gasa bagade hou da Na: fawane, amola mae fisili asigidafa hou da Na: fawane.” Hina Gode! Di Disu fawane, dunu ilia hou hamobe defele, ilima bidi iaha!
12 Pia kwako, Bwana, ni uaminifu wa agano, maana humlipa kila mtu kwa kile alichokifanya.

< Zaburi 62 >