< Zaburi 61 >

1 Sikia kulia kwangu, shughulikia maombi yangu.
琴にあはせて伶長にうたはしめたるダビデのうた ああ神よねがはくはわが哭聲をききたまへ わが祈にみこころをとめたまへ
2 Kutokea mwisho wa nchi nitakuita wewe wakati moyo wangu umeelemewa; uniongoze kwenye mwamba ulio juu kuliko mimi.
わが心くづほるるとき地のはてより汝をよばん なんぢ我をみちびきてわが及びがたきほどの高き磐にのぼらせたまへ
3 Maana wewe umekuwa kimbilio langu la usalama, nguzo imara dhidi ya adui.
なんぢはわが避所われを仇よりのがれしむる堅固なる櫓なればなり
4 Uniache niishi hemani mwako milele! Nipate kimbilio salama chini ya makazi ya mbawa zako. (Selah)
われ永遠になんぢの帷幄にすまはん我なんぢの翼の下にのがれん (セラ)
5 Kwa kuwa wewe, Mungu, umesikia viapo vyangu, wewe umenipa mimi urithi wa wale wanao liheshimu jina lako.
神よなんぢはわがもろもろの誓をきき名をおそるるものにたまふ嗣業をわれにあたへたまへり
6 Wewe utaongeza maisha ya mfalme; miaka yake itakuwa kama vizazi vingi.
なんぢは王の生命をのばし その年を幾代にもいたらせたまはん
7 Yeye atabakia mbele ya Mungu milele.
王はとこしへに神のみまへにとどまらん ねがはくは仁慈と眞實とをそなへて彼をまもりたまへ
8 Nitaliimbia sifa jina lako milele ili kwamba niweze kufanya viapo vyangu kila siku.
さらば我とこしへに名をほめうたひて日ごとにわがもろもろの誓をつくのひ果さん

< Zaburi 61 >