< Zaburi 61 >
1 Sikia kulia kwangu, shughulikia maombi yangu.
Til Sangmesteren. Til Strengespil. Af David.
2 Kutokea mwisho wa nchi nitakuita wewe wakati moyo wangu umeelemewa; uniongoze kwenye mwamba ulio juu kuliko mimi.
Hør, o Gud, paa mit Raab og lyt til min Bøn!
3 Maana wewe umekuwa kimbilio langu la usalama, nguzo imara dhidi ya adui.
Fra Jordens Ende raaber jeg til dig. Naar mit Hjerte vansmægter, løft mig da op paa en Klippe,
4 Uniache niishi hemani mwako milele! Nipate kimbilio salama chini ya makazi ya mbawa zako. (Selah)
led mig, thi du er min Tilflugt, et mægtigt Taarn til Værn imod Fjenden.
5 Kwa kuwa wewe, Mungu, umesikia viapo vyangu, wewe umenipa mimi urithi wa wale wanao liheshimu jina lako.
Lad mig evigt bo som Gæst i dit Telt, finde Tilflugt i dine Vingers Skjul! (Sela)
6 Wewe utaongeza maisha ya mfalme; miaka yake itakuwa kama vizazi vingi.
Ja du, o Gud, har hørt mine Løfter, opfyldt deres Ønsker, der frygter dit Navn.
7 Yeye atabakia mbele ya Mungu milele.
Til Kongens Dage lægger du Dage, hans Aar skal være fra Slægt til Slægt.
8 Nitaliimbia sifa jina lako milele ili kwamba niweze kufanya viapo vyangu kila siku.
Han skal trone evigt for Guds Aasyn; send Naade og Sandhed til at bevare ham! Da vil jeg evigt love dit Navn og saaledes Dag efter Dag indfri mine Løfter.