< Zaburi 61 >
1 Sikia kulia kwangu, shughulikia maombi yangu.
JUNGOG y inaganjo, O Yuus; atituye y tinaetaejo.
2 Kutokea mwisho wa nchi nitakuita wewe wakati moyo wangu umeelemewa; uniongoze kwenye mwamba ulio juu kuliko mimi.
Desde y uttimon y tano juagang jao, anae taeninasiña y corasonjo: chalaneyo asta y acho ni y mas taquilo qui guajo.
3 Maana wewe umekuwa kimbilio langu la usalama, nguzo imara dhidi ya adui.
Sa jago guinin y guinegüeco, yan y guiman lumijing guinin y enemigo.
4 Uniache niishi hemani mwako milele! Nipate kimbilio salama chini ya makazi ya mbawa zako. (Selah)
Jusaga gui jalom y tabetnaculumo para taejinecog: ya jugogüeyo gui tinampen y papamo. (Sila)
5 Kwa kuwa wewe, Mungu, umesikia viapo vyangu, wewe umenipa mimi urithi wa wale wanao liheshimu jina lako.
Sa jago O Yuus guinin jumungog y promesajo; jago guinin numaeyo ni y erensian ayo sija y manmaañao ni y naanmo.
6 Wewe utaongeza maisha ya mfalme; miaka yake itakuwa kama vizazi vingi.
Jago munaanaco y jaanin y ray; y sacanña taegüije y megae na generasion sija.
7 Yeye atabakia mbele ya Mungu milele.
Usaga gui menan Yuus para taejinecog: O, nalisto y güinaeya yan y minagajet, para ufanadaje güe.
8 Nitaliimbia sifa jina lako milele ili kwamba niweze kufanya viapo vyangu kila siku.
Pot este jucantaye y naanmo para taejinecog, para jufatinas y prinimetijo cada jaane.