< Zaburi 60 >
1 Mungu, wewe umetutupa; umeuvunja ulinzi wetu; wewe umekuwa hasirani; utuwezeshe tena.
Načelniku godbe, na šestostrunje pričanja, pesem odlična Davidova, za uk. Ko se je boril sè Sirci Mezopotamijskimi, in Sirci Zobejskimi in je Joab vrnivši se pobil Edomejcev v solni dolini dvanajst tisoč. O Bog, zavrgel si nas bil, raztrgal nas, srdit si bil, povrni se nam.
2 Wewe umeifanya nchi kutetemeka; umeipasua pasua; uiponye nyufa zake, maana zinatikisika.
Zmajal si bil deželo, razdrobil jo; sceli kosove njene, ker omahuje.
3 Wewe umewafanya watu wako kuona mambo magumu; umetufanya tunywe mvinyo wenye kutufanya kupepesuka.
Storil si bil, da je ljudstvo tvoje čutilo trdóst, dál si nam bil piti grozo kakor vino.
4 Kwa wale wanao kuheshimu wewe, wewe umeweka bandera ionekane dhidi ya wale wabebao upinde. (Selah)
Dal si njim, ki se tebe bojé, zastavo, katero naj rabijo, zaradi resnice mogočno.
5 Ili kwamba wale uwapendao waweze kuokolewa, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
Da se rešijo ljubljenci tvoji; reši z desnico svojo in usliši me.
6 Mungu ameongea katika utakatifu wake, “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na kuligawa bonde la Sukothi.
Bog je govoril po svetosti svoji, radoval se bodem; v delež dobim Sihem, in dolino Sukotsko merim.
7 Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu na Ephraimu pia ni kofia yangu ya chuma; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
Moj je Gilead in moj Manase in Efraim glave moje moč, Juda postavodajalec moj.
8 Moabu ni bakuli langu la kunawia; juu ya Edomu nitatupa kiatu changu; nitapiga kelele za ushindi kwa sababu ya Filisti.”
Moab umivalnica moja, na Edomejca vržem čevelj svoj, nad máno, Palestina, ukaj!
9 Ni nani atakaye nileta kwenye mji imara? Ni nani ataniongoza kwenda Edomu?
Kdo bi me popeljal v mesto trdno, kdo bi me peljal noter do Edomeje?
10 Lakini wewe, Mungu, je, haukutukataa? Wewe hauendi vitani pamoja na jeshi letu.
Ali nisi bil ti, Bog, zavrgel nas; da nisi hodil, Bog, med našimi vojskámi?
11 Utusaidie dhidi ya adui yetu, maana msaada wa mwanadamu ni bure.
Daj nam pomoč zoper sovražnika; ker ničeva je pomoč človeška.
12 Kwa msaada wa Mungu tutashinda; yeye atawakanyaga chini adui zetu.
V Bogu delajmo vrlo, in on bode poteptal sovražnike naše.