< Zaburi 60 >

1 Mungu, wewe umetutupa; umeuvunja ulinzi wetu; wewe umekuwa hasirani; utuwezeshe tena.
in finem his qui inmutabuntur in tituli inscriptione David in doctrina cum succendit Syriam Mesopotamiam et Syriam Soba et convertit Ioab et percussit vallem Salinarum duodecim milia Deus reppulisti nos et destruxisti nos iratus es et misertus es nobis
2 Wewe umeifanya nchi kutetemeka; umeipasua pasua; uiponye nyufa zake, maana zinatikisika.
commovisti terram et turbasti eam sana contritiones eius quia commota est
3 Wewe umewafanya watu wako kuona mambo magumu; umetufanya tunywe mvinyo wenye kutufanya kupepesuka.
ostendisti populo tuo dura potasti nos vino conpunctionis
4 Kwa wale wanao kuheshimu wewe, wewe umeweka bandera ionekane dhidi ya wale wabebao upinde. (Selah)
dedisti metuentibus te significationem ut fugiant a facie arcus diapsalma ut liberentur dilecti tui
5 Ili kwamba wale uwapendao waweze kuokolewa, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
salvum fac dextera tua et exaudi me
6 Mungu ameongea katika utakatifu wake, “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na kuligawa bonde la Sukothi.
Deus locutus est in sancto suo laetabor et partibor Sicima et convallem tabernaculorum metibor
7 Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu na Ephraimu pia ni kofia yangu ya chuma; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
meus est Galaad et meus est Manasses et Effraim fortitudo capitis mei Iuda rex meus
8 Moabu ni bakuli langu la kunawia; juu ya Edomu nitatupa kiatu changu; nitapiga kelele za ushindi kwa sababu ya Filisti.”
Moab olla spei meae in Idumeam extendam calciamentum meum mihi alienigenae subditi sunt
9 Ni nani atakaye nileta kwenye mji imara? Ni nani ataniongoza kwenda Edomu?
quis deducet me in civitatem munitam quis deducet me usque in Idumeam
10 Lakini wewe, Mungu, je, haukutukataa? Wewe hauendi vitani pamoja na jeshi letu.
nonne tu Deus qui reppulisti nos et non egredieris Deus in virtutibus nostris
11 Utusaidie dhidi ya adui yetu, maana msaada wa mwanadamu ni bure.
da nobis auxilium de tribulatione et vana salus hominis
12 Kwa msaada wa Mungu tutashinda; yeye atawakanyaga chini adui zetu.
in Deo faciemus virtutem et ipse ad nihilum deducet tribulantes nos

< Zaburi 60 >