< Zaburi 60 >
1 Mungu, wewe umetutupa; umeuvunja ulinzi wetu; wewe umekuwa hasirani; utuwezeshe tena.
(Til sangmesteren. Al-sjusjan-edut. En miktam af David til til indøvelse, dengang han kæmpede med Aram-Naharajim og Aram-Zoba, og Joab vendte tilbage og slog edomitterne i Saltdalen, 12000 mand.) Gud, du har stødt os fra dig, nedbrudt os, du vredes - vend dig til os igen;
2 Wewe umeifanya nchi kutetemeka; umeipasua pasua; uiponye nyufa zake, maana zinatikisika.
du lod Landet skælve, slå Revner, læg nu dets Brist, thi det vakler!
3 Wewe umewafanya watu wako kuona mambo magumu; umetufanya tunywe mvinyo wenye kutufanya kupepesuka.
Du lod dit Folk friste ondt, iskænked os døvende Vin.
4 Kwa wale wanao kuheshimu wewe, wewe umeweka bandera ionekane dhidi ya wale wabebao upinde. (Selah)
Dem, der frygter dig, gav du et Banner, hvorhen de kan fly for Buen. (Sela)
5 Ili kwamba wale uwapendao waweze kuokolewa, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
Til Frelse for dine elskede hjælp med din højre, bønhør os!
6 Mungu ameongea katika utakatifu wake, “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na kuligawa bonde la Sukothi.
Gud talede i sin Helligdom: "Jeg vil udskifte Sikem med jubel, udmåle Sukkots Dal;
7 Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu na Ephraimu pia ni kofia yangu ya chuma; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
mit er Gilead, mit er Manasse, Efraim er mit Hoveds Værn, Juda min Herskerstav,
8 Moabu ni bakuli langu la kunawia; juu ya Edomu nitatupa kiatu changu; nitapiga kelele za ushindi kwa sababu ya Filisti.”
Moab min Vaskeskål, på Edom kaster jeg min Sko, over Filisterland jubler jeg."
9 Ni nani atakaye nileta kwenye mji imara? Ni nani ataniongoza kwenda Edomu?
Hvo bringer mig hen til den faste Stad, hvo leder mig hen til Edom?
10 Lakini wewe, Mungu, je, haukutukataa? Wewe hauendi vitani pamoja na jeshi letu.
Har du ikke, Gud, stødt os fra dig? Du ledsager ej vore Hære.
11 Utusaidie dhidi ya adui yetu, maana msaada wa mwanadamu ni bure.
Giv os dog Hjælp mod Fjenden! Blændværk er Menneskers Støtte.
12 Kwa msaada wa Mungu tutashinda; yeye atawakanyaga chini adui zetu.
Med Gud skal vi øve vældige Ting, vore Fjender træder han ned!