< Zaburi 60 >

1 Mungu, wewe umetutupa; umeuvunja ulinzi wetu; wewe umekuwa hasirani; utuwezeshe tena.
Zborovođi. Po napjevu “Ljiljan svjedočanstva”. Miktam. Davidov. Kad je David izišao protiv Aram Naharajima i protiv Aram Sobe i kad je Joab na povratku potukao dvanaest tisuća Edomaca Bože, ti nas ÓodbÄaci i bojne nam redove prÓobi, razjari se, a sad nas opet vrati!
2 Wewe umeifanya nchi kutetemeka; umeipasua pasua; uiponye nyufa zake, maana zinatikisika.
Potrese zemlju, rasječe je, zatvori joj usjeline jer se poljuljala.
3 Wewe umewafanya watu wako kuona mambo magumu; umetufanya tunywe mvinyo wenye kutufanya kupepesuka.
Zlu si kob na svoj narod navalio, napio nas vinom omamnim.
4 Kwa wale wanao kuheshimu wewe, wewe umeweka bandera ionekane dhidi ya wale wabebao upinde. (Selah)
Al' si i stijeg dao vjernicima svojim da umaknu luku dušmanskom.
5 Ili kwamba wale uwapendao waweze kuokolewa, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
Da ti se ljubimci izbave, desnicom pomozi, usliši nas!
6 Mungu ameongea katika utakatifu wake, “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na kuligawa bonde la Sukothi.
Bog reče u svom Svetištu: “Šekem ću razdijelit' kličući, dolinu Sukot izmjeriti.
7 Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu na Ephraimu pia ni kofia yangu ya chuma; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
Moj je Gilead, moj Manaše, Efrajim mi kaciga, Judeja žezlo moje!
8 Moabu ni bakuli langu la kunawia; juu ya Edomu nitatupa kiatu changu; nitapiga kelele za ushindi kwa sababu ya Filisti.”
Moab je sud iz kojeg se umivam, na Edom ću baciti obuću, nad Filistejcem slavit' pobjedu!”
9 Ni nani atakaye nileta kwenye mji imara? Ni nani ataniongoza kwenda Edomu?
Tko će me dovesti do utvrđena grada, tko će me dovesti do Edoma?
10 Lakini wewe, Mungu, je, haukutukataa? Wewe hauendi vitani pamoja na jeshi letu.
Zar nećeš ti, o Bože, što nas odbaci? Zar više nećeš, Bože, s četama našim?
11 Utusaidie dhidi ya adui yetu, maana msaada wa mwanadamu ni bure.
Pomozi nam protiv dušmana, jer ljudska je pomoć ništavna!
12 Kwa msaada wa Mungu tutashinda; yeye atawakanyaga chini adui zetu.
S pomoću Božjom hrabro ćemo se boriti, a on će zgaziti naše dušmane.

< Zaburi 60 >