< Zaburi 6 >

1 Yahweh, usinikemee ukiwa na hasira au usiniadhibu katika gadhabu yako.
다윗의 시, 영장으로 현악 스미닛에 맞춘 노래 여호와여 주의 분으로 나를 견책하지 마옵시며 주의 진노로 나를 징계하지 마옵소서
2 Unihurumie, Yahwe, kwa maana ni dhaifu; uniponye, Yahweh, kwa kuwa mifupa yangu ina tikisika.
여호와여 내가 수척하였사오니 긍휼히 여기소서 여호와여 나의 뼈가 떨리오니 나를 고치소서
3 Moyo wangu pia umesumbuka sana. Lakini wewe, Yahweh, mpaka lini hali hii itaendelea?
나의 영혼도 심히 떨리나이다 여호와여 어느 때까지니이까
4 Rudi, Yahweh! uniokoe. Uniokoe kwa sababu ya uaminifu wa agano lako!
여호와여 돌아와 나의 영혼을 건지시며 주의 인자하심을 인하여 나을 구원하소서
5 kwa kuwa kifoni hakuna kumbukumbu lako. Kuzimuni ni nani atakaye kushukuru? (Sheol h7585)
사망 중에서는 주를 기억함이 없사오니 음부에서 주께 감사할 자 누구리이까 (Sheol h7585)
6 Nimechoshwa na kuugua kwangu. Ninalowanisha kitanda changu kwa machozi usiku kucha; ninaosha kiti changu kwa machozi.
내가 탄식함으로 곤핍하여 밤마다 눈물로 내 침상을 띄우며 내 요를 적시나이다
7 Macho yangu yanafifia kwa kulia sana; yanazidi kuwa dhaifu kwa sababu ya adaui zangu.
내 눈이 근심을 인하여 쇠하며 내 모든 대적을 인하여 어두웠나이다
8 Ondokeni kwangu, nyote mtendao maovu; kwa kuwa Yahweh amesikia sauti ya kilio changu.
행악하는 너희는 다 나를 떠나라 여호와께서 내 곡성을 들으셨도다
9 Yahweh amesikia malalamiko yangu kwa ajili ya huruma; Yahweh ameyapokea maombi yangu.
여호와께서 내 간구를 들으셨음이여 여호와께서 내 기도를 받으시리로다
10 Maadui zangu wote wataaibishwa na kuteswa sana. Watarudi nyuma na ghafra kufedheheshwa.
내 모든 원수가 부끄러움을 당하고 심히 떪이여 홀연히 부끄러워 물러가리로다

< Zaburi 6 >