< Zaburi 59 >

1 Uniokoe dhidi ya adui zangu, Mungu wangu; uniweke mahali pa juu mbali na wale wanaoinuka dhidi yangu.
Dāvida sirds dziesma, pēc: „nesamaitā“; kad Sauls nosūtīja, vaktēt to namu, ka viņu nokautu. Izglāb mani, mans Dievs, no maniem ienaidniekiem, pasargi mani no tiem, kas pret mani ceļas.
2 Uniweke salama mbali na wafanyao kazi ya uovu, na uniokoe dhidi ya watu wenye kiu ya damu.
Izglāb mani no ļauna darītājiem un atpestī mani no asins ļaudīm.
3 Maana, tazama, wanasubiria uvamizini waniue. Wafanya maovu wenye nguvu hujikusanya wenyewe pamoja dhidi yangu, lakini sio kwa sababu ya makosa yangu au dhambi yangu, Yahwe.
Jo redzi tie glūn uz manu dvēseli, vareni sapulcējās pret mani, lai gan neesmu grēkojis nedz noziedzies, ak Kungs!
4 Wao wanajiandaa kunikimbiza ingawa sina kosa; amka unisaidie na unitazame.
Bez vainas tie tek un sataisās. Uzmosties man palīgā un skaties!
5 Ewe, Yahwe Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, inika uwaadhibu mataifa yote; usiwe na huruma kwa mhalifu mwovu yeyote. (Selah)
Tu, ak Kungs, Dievs Cebaot, Israēla Dievs, uzmosties, piemeklēt visus pagānus, neapžēlojies par nevienu, kas tik viltīgi dodas uz netaisnību. (Sela)
6 Wao wanarudi jioni, wanabweka kama mbwa na kuuzungukia mji.
Vakarā tie atnāk, rūc kā suņi, un tekā(skraida) apkārt pa pilsētu.
7 Tazama, wanapiga kelele mbaya kwa midomo yao; panga ziko kwenye midomo yao, maana wanasema, “Ni nani anaye tusikia?”
Redzi, tie ar savu muti plukšķ, zobeni ir viņu lūpās, jo - kas to dzird?
8 Lakini wewe, Yahwe, utawacheka; wewe huwadhihaki mataifa yote.
Bet Tu, Kungs, par tiem smiesies, Tu apmēdīsi visus pagānus.
9 Mungu, nguvu yangu, nitakuwa msikivu kwako; wewe ni mnara wangu mrefu.
Pret viņu varu es gaidīšu uz Tevi, jo Dievs ir mans patvērums.
10 Mungu atakutana nami akiwa na uaminifu wa agano lake; Mungu atanifanya nione shauku yangu juu ya adui zangu.
Dievs man bagātīgi parāda Savu žēlastību, Dievs man liek ar prieku uzlūkot savus pretiniekus.
11 Usiwaue, hivyo watu watasahau. Uwatawanye kwa nguvu zako na uwaangushe, Bwana ngao yetu.
Nenokauj tos, ka mani ļaudis to neaizmirst, izklīdini tos ar Savu varu, un nogāz tos, ak Kungs, mūsu priekšturamās bruņas!
12 Kwa ajili ya dhambi za midomo yao na maneno ya midomo yao, wakamatwe katika majivuno yao, na kwa laana na uongo ambao wao huelezea.
Tīri grēks ir viņu lūpu vārdi, tāpēc lai tie top sagūstīti savā lepnībā, viņu lādēšanas un to melu pēc, ko tie runā.
13 Uwamalize katika gadhabu yako, uwamalize ili kwamba wasiwepo tena; wajue kuwa Mungu anatawala katika Yakobo na mwisho wa nchi. (Selah)
Izdeldē tos dusmībā, izdeldē tos, ka to vairs nav, un lai atzīst, ka Dievs ir valdītājs iekš Jēkaba līdz pasaules galam. (Sela)
14 Wakati wa jioni wao hurudi, wakibweka kama mbwa wakiuzungukia mji.
Vakarā tie atnāk, rūc kā suņi, un tekā apkārt pa pilsētu.
15 Wanatangatanga wakitafuta chakula na wanabweka kama mbwa kama hawajatosheka.
Tie skraida šurp un turp barības pēc, un kad nav paēduši, paliek pa nakti.
16 Lakini nitaimba kuhusu nguvu zako, na asubuhi nitaimba kuhusu upendo wako imara! maana umekuwa mnara wangu mrefu na kimbilio la usalama katika siku ya taabu.
Bet es dziedāšu no Tava stipruma un teikšu rītos Tavu žēlastību, jo Tu man esi bijis augsts patvērums un glābšana bēdu dienā.
17 Kwako, nguvu yangu, nitaimba sifa; kwa kuwa Mungu ni mnara wangu mrefu, Mungu wa uaminifu wa agano.
No Tevis es dziedāšu, mans stiprums, jo Tu, Dievs, esi mans patvērums, mans žēlīgais Dievs!

< Zaburi 59 >