< Zaburi 59 >

1 Uniokoe dhidi ya adui zangu, Mungu wangu; uniweke mahali pa juu mbali na wale wanaoinuka dhidi yangu.
Diosko, ispalennak kadagiti kabusorko, ikabilnak iti nangato nga adayo kadagiti bumusor kaniak.
2 Uniweke salama mbali na wafanyao kazi ya uovu, na uniokoe dhidi ya watu wenye kiu ya damu.
Salaknibannak kadagiti managdakdakes, ken isalakannak kadagiti lallaki a mawaw ti dara.
3 Maana, tazama, wanasubiria uvamizini waniue. Wafanya maovu wenye nguvu hujikusanya wenyewe pamoja dhidi yangu, lakini sio kwa sababu ya makosa yangu au dhambi yangu, Yahwe.
Ta kitaem, agur-urayda a mangsaneb tapno kettelenda ti biagko. Aguummong dagiti nabibileg a managdakdakes a maibusor kaniak, ngem saan a gapu iti panaglabsingko wenno basolko, O Yahweh.
4 Wao wanajiandaa kunikimbiza ingawa sina kosa; amka unisaidie na unitazame.
Agsagsaganada a mangkamat kaniak uray no awan ti biddutko; agriingka, tulongannak ket kitaem.
5 Ewe, Yahwe Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, inika uwaadhibu mataifa yote; usiwe na huruma kwa mhalifu mwovu yeyote. (Selah)
Sika, O Yahweh a Dios a Mannakabalin, ti Dios ti Israel, bumangonka ket dusaem amin dagiti nasion, saanmo a kaasian dagiti nadangkes a managbasol. (Selah)
6 Wao wanarudi jioni, wanabweka kama mbwa na kuuzungukia mji.
Agsublida iti rabii, agtataguobda a kasla aso ken likmutenda iti siudad.
7 Tazama, wanapiga kelele mbaya kwa midomo yao; panga ziko kwenye midomo yao, maana wanasema, “Ni nani anaye tusikia?”
Kitaem, agtabbaawda; adda kampilan kadagiti bibigda, ta kunkunaenda “Siasino ti makangngeg kadatayo?”
8 Lakini wewe, Yahwe, utawacheka; wewe huwadhihaki mataifa yote.
Ngem katawaam ida O Yahweh, tenglem dagiti amin a nasion iti pannakaumsi.
9 Mungu, nguvu yangu, nitakuwa msikivu kwako; wewe ni mnara wangu mrefu.
O Dios, a pigsak, ipangagkanto; sika ti nangato a torrek.
10 Mungu atakutana nami akiwa na uaminifu wa agano lake; Mungu atanifanya nione shauku yangu juu ya adui zangu.
Isalakannakto ti Diosko babaen iti kinapudnona iti tulagna; ipakitanto ti Dios kaniak ti tartarigagayak kadagiti kabusorko.
11 Usiwaue, hivyo watu watasahau. Uwatawanye kwa nguvu zako na uwaangushe, Bwana ngao yetu.
Saanmo ida a papatayen, ta amangan no manglipat dagiti tattaok. Warawaraem ida babaen iti pannakabalinmo ken dadaelem ida, O Apo a salaknibmi.
12 Kwa ajili ya dhambi za midomo yao na maneno ya midomo yao, wakamatwe katika majivuno yao, na kwa laana na uongo ambao wao huelezea.
Gapu kadagiti basol dagiti ngiwatda ken dagiti ibalikas dagiti bibigda, bay-am a matiliwda gapu iti kinapannakelda, ken kadagiti lunod ken inu-ulbod nga iyeb-ebkasda.
13 Uwamalize katika gadhabu yako, uwamalize ili kwamba wasiwepo tena; wajue kuwa Mungu anatawala katika Yakobo na mwisho wa nchi. (Selah)
Dadaelem ida iti pungtotmo, dadaelem ida tapno mapukawda; Ipakaammom kadakuada nga agturturay ti Dios kenni Jacob ken iti amin a daga. (Selah)
14 Wakati wa jioni wao hurudi, wakibweka kama mbwa wakiuzungukia mji.
Iti rabii pagsubliem ida, pagtaguobem ida a kasla aso a mangliklikmut iti siudad.
15 Wanatangatanga wakitafuta chakula na wanabweka kama mbwa kama hawajatosheka.
Agsursordanto nga agbiruk ti makan ken agpatpatnag nga agurayda no saanda a napnek.
16 Lakini nitaimba kuhusu nguvu zako, na asubuhi nitaimba kuhusu upendo wako imara! maana umekuwa mnara wangu mrefu na kimbilio la usalama katika siku ya taabu.
Ngem agkantaakto iti maipapan iti bilegmo; ta sika ti nangato a torrek ken pagkamangak iti aldaw ti panagkapsutko.
17 Kwako, nguvu yangu, nitaimba sifa; kwa kuwa Mungu ni mnara wangu mrefu, Mungu wa uaminifu wa agano.
Sika ti pigsak, agkantaak kadagiti pagdaydayaw; ta ti Dios ti nangato a torrek, ti Dios a napudno iti tulag.

< Zaburi 59 >