< Zaburi 59 >

1 Uniokoe dhidi ya adui zangu, Mungu wangu; uniweke mahali pa juu mbali na wale wanaoinuka dhidi yangu.
Mictam de David, [donné] au maître chantre, [pour le chanter] sur Al-tasheth; touchant ce que Saül envoya [des gens] qui épièrent sa maison afin de le tuer. Mon Dieu! délivre-moi de mes ennemis, garantis-moi de ceux qui s'élèvent contre moi.
2 Uniweke salama mbali na wafanyao kazi ya uovu, na uniokoe dhidi ya watu wenye kiu ya damu.
Délivre-moi des ouvriers d'iniquité, et me garde des hommes sanguinaires.
3 Maana, tazama, wanasubiria uvamizini waniue. Wafanya maovu wenye nguvu hujikusanya wenyewe pamoja dhidi yangu, lakini sio kwa sababu ya makosa yangu au dhambi yangu, Yahwe.
Car voici, ils m'ont dressé des embûches, [et] des gens robustes se sont assemblés contre moi, bien qu'il n'y ait point en moi de transgression ni de péché, ô Eternel!
4 Wao wanajiandaa kunikimbiza ingawa sina kosa; amka unisaidie na unitazame.
Ils courent çà et là, et se mettent en ordre, bien qu'il n'y ait point d'iniquité en moi; réveille-toi pour venir au-devant de moi, et regarde.
5 Ewe, Yahwe Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, inika uwaadhibu mataifa yote; usiwe na huruma kwa mhalifu mwovu yeyote. (Selah)
Toi donc, ô Eternel! Dieu des armées, Dieu d'Israël, réveille-toi pour visiter toutes les nations; ne fais point de grâce à pas un de ceux qui outragent perfidement; (Sélah)
6 Wao wanarudi jioni, wanabweka kama mbwa na kuuzungukia mji.
Ils vont et viennent sur le soir, ils font du bruit comme des chiens, ils font le tour de la ville.
7 Tazama, wanapiga kelele mbaya kwa midomo yao; panga ziko kwenye midomo yao, maana wanasema, “Ni nani anaye tusikia?”
Voilà, ils s'évaporent en discours; il y a des épées en leurs lèvres; car, [disent-ils], qui est-ce qui nous entend?
8 Lakini wewe, Yahwe, utawacheka; wewe huwadhihaki mataifa yote.
Mais toi, Eternel! tu te riras d'eux, tu te moqueras de toutes les nations.
9 Mungu, nguvu yangu, nitakuwa msikivu kwako; wewe ni mnara wangu mrefu.
[A cause] de sa force, je m'attends à toi; car Dieu est ma haute retraite.
10 Mungu atakutana nami akiwa na uaminifu wa agano lake; Mungu atanifanya nione shauku yangu juu ya adui zangu.
Dieu qui me favorise me préviendra, Dieu me fera voir [ce que je désire] en ceux qui m'observent.
11 Usiwaue, hivyo watu watasahau. Uwatawanye kwa nguvu zako na uwaangushe, Bwana ngao yetu.
Ne les tue pas, de peur que mon peuple ne l'oublie; fais-les errer par ta puissance, et les abats, Seigneur, qui es notre bouclier.
12 Kwa ajili ya dhambi za midomo yao na maneno ya midomo yao, wakamatwe katika majivuno yao, na kwa laana na uongo ambao wao huelezea.
Le péché de leur bouche est la parole de leurs lèvres; qu'ils soient donc pris par leur orgueil; car ils ne tiennent que des discours d'exécration et de mensonge.
13 Uwamalize katika gadhabu yako, uwamalize ili kwamba wasiwepo tena; wajue kuwa Mungu anatawala katika Yakobo na mwisho wa nchi. (Selah)
Consume-les avec fureur, consume-[les] de sorte qu'ils ne soient plus; et qu'on sache que Dieu domine en Jacob, [et] jusqu'aux bouts de la terre; (Sélah)
14 Wakati wa jioni wao hurudi, wakibweka kama mbwa wakiuzungukia mji.
Qu'ils aillent donc et viennent sur le soir, qu'ils fassent du bruit comme des chiens, et qu'ils fassent le tour de la ville.
15 Wanatangatanga wakitafuta chakula na wanabweka kama mbwa kama hawajatosheka.
Qu'ils se donnent du mouvement pour trouver à manger, et qu'ils passent la nuit sans être rassasiés.
16 Lakini nitaimba kuhusu nguvu zako, na asubuhi nitaimba kuhusu upendo wako imara! maana umekuwa mnara wangu mrefu na kimbilio la usalama katika siku ya taabu.
Mais moi je chanterai ta force, et je louerai dès le matin à haute voix ta gratuité, parce que tu m'as été une haute retraite, et mon asile au jour que j'étais en détresse.
17 Kwako, nguvu yangu, nitaimba sifa; kwa kuwa Mungu ni mnara wangu mrefu, Mungu wa uaminifu wa agano.
Ma Force! Je te psalmodierai; car Dieu est ma haute retraite, [et] le Dieu qui me favorise.

< Zaburi 59 >