< Zaburi 59 >
1 Uniokoe dhidi ya adui zangu, Mungu wangu; uniweke mahali pa juu mbali na wale wanaoinuka dhidi yangu.
`In Jeroms translacioun thus, To the ouercomer, that thou lese not Dauid, meke and simple, `whanne Saul sente and kepte the hous, to slee hym. `In Ebreu thus, To the ouercomyng, leese thou not the semeli song of Dauid, and so forth. Mi God, delyuer thou me fro myn enemyes; and delyuer thou me fro hem that risen ayens me.
2 Uniweke salama mbali na wafanyao kazi ya uovu, na uniokoe dhidi ya watu wenye kiu ya damu.
Delyuer thou me fro hem that worchen wickidnesse; and saue thou me fro menquelleris.
3 Maana, tazama, wanasubiria uvamizini waniue. Wafanya maovu wenye nguvu hujikusanya wenyewe pamoja dhidi yangu, lakini sio kwa sababu ya makosa yangu au dhambi yangu, Yahwe.
For lo! thei han take my soule; stronge men fellen in on me.
4 Wao wanajiandaa kunikimbiza ingawa sina kosa; amka unisaidie na unitazame.
Nethir my wickidnesse, nether my synne; Lord, Y ran with out wickidnesse, and dresside `my werkis.
5 Ewe, Yahwe Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, inika uwaadhibu mataifa yote; usiwe na huruma kwa mhalifu mwovu yeyote. (Selah)
Rise vp thou in to my meetyng, and se; and thou, Lord God of vertues, art God of Israel. Yyue thou tent to visite alle folkis; do thou not merci to alle that worchen wickidnesse.
6 Wao wanarudi jioni, wanabweka kama mbwa na kuuzungukia mji.
Thei schulen be turned at euentid, and thei as doggis schulen suffre hungir; and thei schulen cumpas the citee.
7 Tazama, wanapiga kelele mbaya kwa midomo yao; panga ziko kwenye midomo yao, maana wanasema, “Ni nani anaye tusikia?”
Lo! thei schulen speke in her mouth, and a swerd in her lippis; for who herde?
8 Lakini wewe, Yahwe, utawacheka; wewe huwadhihaki mataifa yote.
And thou, Lord, schalt scorne hem; thou schalt bringe alle folkis to nouyt.
9 Mungu, nguvu yangu, nitakuwa msikivu kwako; wewe ni mnara wangu mrefu.
I schal kepe my strengthe to thee;
10 Mungu atakutana nami akiwa na uaminifu wa agano lake; Mungu atanifanya nione shauku yangu juu ya adui zangu.
for God is myn vptaker, my God, his mercy schal come byfore me.
11 Usiwaue, hivyo watu watasahau. Uwatawanye kwa nguvu zako na uwaangushe, Bwana ngao yetu.
God schewide to me on myn enemyes, slee thou not hem; lest ony tyme my puples foryete. Scatere thou hem in thi vertu; and, Lord, my defender, putte thou hem doun.
12 Kwa ajili ya dhambi za midomo yao na maneno ya midomo yao, wakamatwe katika majivuno yao, na kwa laana na uongo ambao wao huelezea.
Putte thou doun the trespas of her mouth, and the word of her lippis; and be thei takun in her pride. And of cursyng and of leesyng; thei schulen be schewid in the endyng.
13 Uwamalize katika gadhabu yako, uwamalize ili kwamba wasiwepo tena; wajue kuwa Mungu anatawala katika Yakobo na mwisho wa nchi. (Selah)
In the ire of ending, and thei schulen not be; and thei schulen wite, that the Lord schal be Lord of Jacob, and of the endis of erthe.
14 Wakati wa jioni wao hurudi, wakibweka kama mbwa wakiuzungukia mji.
Thei schulen be turned at euentid, and thei as doggis schulen suffre hungur; and thei schulen cumpas the citee.
15 Wanatangatanga wakitafuta chakula na wanabweka kama mbwa kama hawajatosheka.
Thei schulen be scaterid abrood, for to eete; sotheli if thei ben not fillid, and thei schulen grutche.
16 Lakini nitaimba kuhusu nguvu zako, na asubuhi nitaimba kuhusu upendo wako imara! maana umekuwa mnara wangu mrefu na kimbilio la usalama katika siku ya taabu.
But Y schal synge thi strengthe; and eerli Y schal enhaunse thi merci. For thou art maad myn vptaker; and my refuyt, in the dai of my tribulacioun.
17 Kwako, nguvu yangu, nitaimba sifa; kwa kuwa Mungu ni mnara wangu mrefu, Mungu wa uaminifu wa agano.
Myn helper, Y schal synge to thee; for thou art God, myn vptaker, my God, my mercy.