< Zaburi 57 >
1 Unihurumie, Mungu, unihurumie mimi, kwa maana ninakukimbilia wewe mpaka matatizo haya yaishe. Ninakaa chini ya mbawa za zako kwa ajili ya ulinzi mpaka huu uharibifu utakapoisha.
Dāvida sirds dziesma. Dziedātāju vadonim, pēc: „nesamaitā“; kad tas no Saula bēga alā. Apžēlojies par mani, ak Dievs, apžēlojies par mani, jo uz Tevi cerē mana dvēsele, un apakš Tavu spārnu ēnas es gribu cerēt, kamēr nelaime būs pārgājusi.
2 Nitakulilia Mungu uliye hai, kwa Mungu, afanyaye mambo yote kwa ajili yangu.
Es piesaukšu Dievu, to visuaugsto, to stipro Dievu, kas par mani visu izdarīs.
3 Yeye atatuma msaada kutoka mbinguni na kuniokoa, ana hasira na wale wanaonishambulia. (Selah) Mungu atanitumia upendo wake mwema na uaminifu wake.
Viņš sūta no debesīm un palīdz man, un apkauno manu aprijēju. (Sela) Dievs sūta Savu žēlastību un patiesību.
4 Uhai wangu uko katikati ya simba; niko katikati ya wale walio tayari kunila. Niko katikati ya watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, na ambao ndimi zao ni kali kama upanga.
Mana dvēsele ir starp lauvām; es guļu starp cilvēku bērniem kā starp liesmām; viņu zobi ir šķēpi un bultas, un viņu mēle ass zobens.
5 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu, utukufu wako uwe juu ya nchi yote.
Parādi, Dievs, Savu augstību pār debesīm, un Savu godību pār visu pasauli!
6 Wao walisambaza nje wavu kwa ajili ya miguu yangu; nilikuwa na shida sana. Walichimba shimo mbele yangu. Wao wenyewe wameangukia katikati ya shimo! (Selah)
Tie izpleš tīklu maniem soļiem, mana dvēsele ir nospiesta; manā priekšā tie bedri rakuši, paši krituši iekšā. (Sela)
7 Moyo wangu umeponywa, Mungu, moyo wangu umeponywa, nitaimba, ndiyo, nitaimba sifa.
Mana sirds ir droša, Dievs, mana sirds ir droša, es dziedāšu un slavēšu.
8 Inuka, moyo wa thamani; inuka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
Uzmosties, mans gods, uzmostaties, stabules un kokles, es uzmodīšos ar rīta blāzmu.
9 Nitakushukuru wewe, Bwana, kati ya watu; Kati ya mataifa nitakuimbia sifa.
Es Tev pateikšos, Kungs, starp tiem ļaudīm, es Tevi slavēšu starp tautām.
10 Maana upendo wako usiokwisha, huzifikia mbingu; na uaminifu wako mawinguni.
Jo Tava žēlastība ir liela līdz debesīm, un Tava patiesība līdz padebešiem.
11 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu; na utukufu wako uinuliwe juu ya nchi yote.
Parādi, Dievs, Savu augstību pār debesīm, Savu godību pār visu pasauli.