< Zaburi 57 >
1 Unihurumie, Mungu, unihurumie mimi, kwa maana ninakukimbilia wewe mpaka matatizo haya yaishe. Ninakaa chini ya mbawa za zako kwa ajili ya ulinzi mpaka huu uharibifu utakapoisha.
Au maître-chantre. — «Ne détruis pas.» — Poème de David, lorsqu'il s'enfuit dans la caverne, poursuivi par Saül. Aie pitié, ô Dieu, aie pitié de moi; Car mon âme cherche en toi son refuge. Je me réfugie à l'ombre de tes ailes. Jusqu'à ce que la calamité soit passée.
2 Nitakulilia Mungu uliye hai, kwa Mungu, afanyaye mambo yote kwa ajili yangu.
Je crie vers le Dieu Très-Haut, Vers le Dieu fort qui agira pour moi.
3 Yeye atatuma msaada kutoka mbinguni na kuniokoa, ana hasira na wale wanaonishambulia. (Selah) Mungu atanitumia upendo wake mwema na uaminifu wake.
Il m'enverra des cieux sa délivrance. Tandis que mon persécuteur me couvre d'outrages. (Pause) Oui, Dieu m'enverra sa grâce et son secours fidèle.
4 Uhai wangu uko katikati ya simba; niko katikati ya wale walio tayari kunila. Niko katikati ya watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, na ambao ndimi zao ni kali kama upanga.
Mon âme est au milieu des lions; J'habite avec des hommes qui vomissent des flammes Dont les dents sont des lances et des flèches, Et dont la langue est un glaive acéré.
5 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu, utukufu wako uwe juu ya nchi yote.
Dieu, élève-toi au-dessus des cieux! Que ta gloire couvre toute la terre!
6 Wao walisambaza nje wavu kwa ajili ya miguu yangu; nilikuwa na shida sana. Walichimba shimo mbele yangu. Wao wenyewe wameangukia katikati ya shimo! (Selah)
Ils avaient tendu un piège sous mes pas; Mon âme chancelait; Ils avaient creusé une fosse devant moi: Ils y sont tombés! (Pause)
7 Moyo wangu umeponywa, Mungu, moyo wangu umeponywa, nitaimba, ndiyo, nitaimba sifa.
Mon coeur est bien disposé, ô Dieu! Oui, mon coeur est bien disposé Pour chanter, pour psalmodier.
8 Inuka, moyo wa thamani; inuka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
Réveille-toi, mon âme; réveillez-vous, mon luth et ma harpe: Je veux devancer l'aurore.
9 Nitakushukuru wewe, Bwana, kati ya watu; Kati ya mataifa nitakuimbia sifa.
Je te célébrerai parmi les peuples. Seigneur! Je te louerai parmi les nations;
10 Maana upendo wako usiokwisha, huzifikia mbingu; na uaminifu wako mawinguni.
Car ta bonté atteint jusqu'aux cieux. Et ta fidélité jusqu'aux nues.
11 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu; na utukufu wako uinuliwe juu ya nchi yote.
O Dieu, élève-toi au-dessus des cieux! Que ta gloire couvre toute la terre!