< Zaburi 57 >

1 Unihurumie, Mungu, unihurumie mimi, kwa maana ninakukimbilia wewe mpaka matatizo haya yaishe. Ninakaa chini ya mbawa za zako kwa ajili ya ulinzi mpaka huu uharibifu utakapoisha.
`In Ebreu thus, To the victorie, lese thou not the semeli song, `ether the `swete song of Dauid, `whanne he fledde fro the face of Saul in to the denne. `In Jeroms translacioun thus, For victorie, that thou lese not Dauid, meke and simple, whanne he fledde fro the face of Saul in to the denne. God, haue thou merci on me, haue thou merci on me; for my soule tristith in thee. And Y schal hope in the schadewe of thi wyngis; til wickidnesse passe.
2 Nitakulilia Mungu uliye hai, kwa Mungu, afanyaye mambo yote kwa ajili yangu.
I schal crye to God altherhiyeste; to God that dide wel to me.
3 Yeye atatuma msaada kutoka mbinguni na kuniokoa, ana hasira na wale wanaonishambulia. (Selah) Mungu atanitumia upendo wake mwema na uaminifu wake.
He sente fro heuene, and delyuerede me; he yaf in to schenschip hem that defoulen me. God sente his merci and his treuthe,
4 Uhai wangu uko katikati ya simba; niko katikati ya wale walio tayari kunila. Niko katikati ya watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, na ambao ndimi zao ni kali kama upanga.
and delyuerede my soule fro the myddis of whelpis of liouns; Y slepte disturblid. The sones of men, the teeth of hem ben armuris and arowis; and her tunge is a scharp swerd.
5 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu, utukufu wako uwe juu ya nchi yote.
God, be thou enhaunsid aboue heuenes; and thi glorie aboue al erthe.
6 Wao walisambaza nje wavu kwa ajili ya miguu yangu; nilikuwa na shida sana. Walichimba shimo mbele yangu. Wao wenyewe wameangukia katikati ya shimo! (Selah)
Thei maden redi a snare to my feet; and thei greetly boweden my lijf. Thei delueden a diche bifore my face; and thei felden doun in to it.
7 Moyo wangu umeponywa, Mungu, moyo wangu umeponywa, nitaimba, ndiyo, nitaimba sifa.
God, myn herte is redi, myn herte is redi; Y schal singe, and Y schal seie salm.
8 Inuka, moyo wa thamani; inuka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
Mi glorie, rise thou vp; sautrie and harpe, rise thou vp; Y schal rise vp eerli.
9 Nitakushukuru wewe, Bwana, kati ya watu; Kati ya mataifa nitakuimbia sifa.
Lord, Y schal knouleche to thee among puplis; and Y schal seie salm among hethene men.
10 Maana upendo wako usiokwisha, huzifikia mbingu; na uaminifu wako mawinguni.
For thi merci is magnified til to heuenes; and thi treuthe til to cloudis.
11 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu; na utukufu wako uinuliwe juu ya nchi yote.
God, be thou enhaunsid aboue heuenes; and thi glorie ouer al erthe.

< Zaburi 57 >