< Zaburi 57 >

1 Unihurumie, Mungu, unihurumie mimi, kwa maana ninakukimbilia wewe mpaka matatizo haya yaishe. Ninakaa chini ya mbawa za zako kwa ajili ya ulinzi mpaka huu uharibifu utakapoisha.
To him that excelleth. Destroy not. A Psalme of David on Michtam. When he fled from Saul in the cave. Have mercie vpon me, O God, haue mercie vpon me: for my soule trusteth in thee, and in the shadowe of thy wings wil I trust, till these afflictions ouerpasse.
2 Nitakulilia Mungu uliye hai, kwa Mungu, afanyaye mambo yote kwa ajili yangu.
I will call vnto the most high God, euen to the God, that performeth his promise toward me.
3 Yeye atatuma msaada kutoka mbinguni na kuniokoa, ana hasira na wale wanaonishambulia. (Selah) Mungu atanitumia upendo wake mwema na uaminifu wake.
He will send from heauen, and saue me from the reproofe of him that would swallowe me. (Selah) God wil send his mercy, and his trueth.
4 Uhai wangu uko katikati ya simba; niko katikati ya wale walio tayari kunila. Niko katikati ya watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, na ambao ndimi zao ni kali kama upanga.
My soule is among lions: I lie among the children of men, that are set on fire: whose teeth are speares and arrowes, and their tongue a sharpe sworde.
5 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu, utukufu wako uwe juu ya nchi yote.
Exalt thy selfe, O God, aboue the heauen, and let thy glory be vpon all the earth.
6 Wao walisambaza nje wavu kwa ajili ya miguu yangu; nilikuwa na shida sana. Walichimba shimo mbele yangu. Wao wenyewe wameangukia katikati ya shimo! (Selah)
They haue layd a net for my steps: my soule is pressed downe: they haue digged a pit before me, and are fallen into the mids of it. (Selah)
7 Moyo wangu umeponywa, Mungu, moyo wangu umeponywa, nitaimba, ndiyo, nitaimba sifa.
Mine heart is prepared, O God, mine heart is prepared: I will sing and giue prayse.
8 Inuka, moyo wa thamani; inuka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
Awake my tongue, awake viole and harpe: I wil awake early.
9 Nitakushukuru wewe, Bwana, kati ya watu; Kati ya mataifa nitakuimbia sifa.
I will prayse thee, O Lord, among the people, and I wil sing vnto thee among the nations.
10 Maana upendo wako usiokwisha, huzifikia mbingu; na uaminifu wako mawinguni.
For thy mercie is great vnto the heauens, and thy trueth vnto the cloudes.
11 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu; na utukufu wako uinuliwe juu ya nchi yote.
Exalt thy selfe, O God, aboue the heauens, and let thy glory be vpon all the earth.

< Zaburi 57 >