< Zaburi 56 >
1 Uwe na huruma nami, Mungu, kwa maana watu wananishambulia! Muda wote wale wanao pigana nami hunikaribia zaidi ili wanishambulie.
Načelniku godbe, o duši, ki silo trpi od tujcev krdela, odlična pesem Davidova, ko so ga prijeli Filistejci v Gatu. Milosten mi bodi, Bog, ker rohneč me preganja človek, ves dan me stiska oblegovatelj.
2 Adui zangu hunikanyaga muda wote; maana ni wengi ambao kwa kiburi hupigana dhidi yangu.
Rohné zalezovalci moji vés dan, ker mnogo jih je; z višave naj mi pomagajo borilci.
3 Wakati nina woga, nitaweka imani yangu katika wewe.
Ko se bodem bal, zaupal bodem v tebe.
4 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu - nimeweka imani yangu katika Mungu; sitaogopa; mtu wa kawaida atanifanya nini?
V Bogu bodem hvalil besedo njegovo; v Boga bodem zaupal, ne bodem se bal: Kaj naj bi mi storilo meso?
5 Muda wote wanayageuza maneno yangu; mawazo yao yote yako kinyume na mimi kwa ajili ya uovu.
Ves dan žalijo mojo stvar; zoper mene merijo vse njih misli v hudo.
6 Wanajikusanya kwa pamoja, wanajificha wenyewe, na kuzifuatilia hatua zangu, wakisubiri kuniua.
Zbirajo, skrivajo se oni; na moj sled prežé, kakor ki iščejo življenje moje.
7 Usiwaache waikimbie adhabu yako kwa ajili ya uovu wao. Uwaangushe watu chini katika hasira yako, Mungu.
Poleg krivičnosti jim stóri, v jezi pahni ljudstva, Bog.
8 Wewe unahesabu kutangatanga kwangu na kuweka machozi yangu kwenye chupa yako; je, hayako kitabuni mwako?
Ti imaš sešteto tavanje moje; v meh svoj deni vsako solzo mojo, ali bi jih ne imel seštetih?
9 Ndipo maadui zangu watakimbia katika siku ile nikuitapo wewe; hili najua, kwamba Mungu yupo kwa ajili yangu.
Tedaj se povrnejo sovražniki moji nazaj; tisti dan, ko bodem vpil: To vém, da mi bode Bog na strani.
10 Katika Mungu ambaye neno lake ninalisifu, katika Yahwe ambaye neno lake ninalisifu,
V Bogu bodem hvalil besedo, v Gospodu hvalil besedo.
11 katika Mungu ninaamini, sitaogopa. Yeyote atanifanya nini?
V Boga zaupam, ne bodem se bal; kaj bi mi storil človek?
12 Wajibu wa kutimiza viapo vyangu kwako uko juu yangu, Mungu; nitatoa sadaka ya shukurani.
Z menoj bodejo, o Bog, obljube tvoje; zahvaljeval se bodem tebi.
13 Kwa kuwa umeokoa uhai wangu na mauti; umezuia miguu yangu isianguke, ili kwamba niweze kutembea mbele ya Mungu katika nuru ya uhai.
Ker dušo mojo otimaš smrti; ali bi ne rešil nóg mojih padca? da neprestano hodim pred Bogom v tega življenja luči.