< Zaburi 56 >
1 Uwe na huruma nami, Mungu, kwa maana watu wananishambulia! Muda wote wale wanao pigana nami hunikaribia zaidi ili wanishambulie.
Til Sangmesteren; til „den stumme Due i det fjerne” af David; „et gyldent Smykke”, der Filisterne havde grebet ham i Gath.
2 Adui zangu hunikanyaga muda wote; maana ni wengi ambao kwa kiburi hupigana dhidi yangu.
Gud! vær mig naadig; thi et Menneske søger at opsluge mig, Stridsmanden trænger mig den ganske Dag.
3 Wakati nina woga, nitaweka imani yangu katika wewe.
Mine Fjender søge den ganske Dag at opsluge mig; thi de ere mange, som i Hovmod stride imod mig.
4 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu - nimeweka imani yangu katika Mungu; sitaogopa; mtu wa kawaida atanifanya nini?
Paa den Dag, jeg frygter, forlader jeg mig paa dig.
5 Muda wote wanayageuza maneno yangu; mawazo yao yote yako kinyume na mimi kwa ajili ya uovu.
I Gud vil jeg prise hans Ord; jeg forlader mig paa Gud, jeg vil ikke frygte; hvad kan Kød gøre mig?
6 Wanajikusanya kwa pamoja, wanajificha wenyewe, na kuzifuatilia hatua zangu, wakisubiri kuniua.
Den ganske Dag fordreje de mine Ord; alle deres Tanker ere imod mig til det onde.
7 Usiwaache waikimbie adhabu yako kwa ajili ya uovu wao. Uwaangushe watu chini katika hasira yako, Mungu.
De holde sig sammen, de skjule sig, de tage Vare paa mine Fodspor, ligesom de have tragtet efter mit Liv.
8 Wewe unahesabu kutangatanga kwangu na kuweka machozi yangu kwenye chupa yako; je, hayako kitabuni mwako?
Skulde de undkomme ved deres Uretfærdighed? Gud! nedstød disse Folk i Vrede!
9 Ndipo maadui zangu watakimbia katika siku ile nikuitapo wewe; hili najua, kwamba Mungu yupo kwa ajili yangu.
Du har talt mine Landflygtighedsdage; gem mine Taarer i din Flaske; staa de ikke i din Bog?
10 Katika Mungu ambaye neno lake ninalisifu, katika Yahwe ambaye neno lake ninalisifu,
Da skulle mine Fjender vende tilbage paa den Dag, jeg raaber; dette ved jeg, at du er min Gud.
11 katika Mungu ninaamini, sitaogopa. Yeyote atanifanya nini?
I Gud vil jeg prise Ordet; i Herren vil jeg prise Ordet.
12 Wajibu wa kutimiza viapo vyangu kwako uko juu yangu, Mungu; nitatoa sadaka ya shukurani.
Jeg forlader mig paa Gud, jeg vil ikke frygte; hvad skulde et Menneske gøre mig?
13 Kwa kuwa umeokoa uhai wangu na mauti; umezuia miguu yangu isianguke, ili kwamba niweze kutembea mbele ya Mungu katika nuru ya uhai.
Gud! Løfter til dig hvile paa mig, med Taksigelse vil jeg betale dig. Thi du friede min Sjæl fra Døden, ja, mine Fødder fra Fald, at jeg skal vandre for Guds Ansigt i de levendes Lys.