< Zaburi 56 >

1 Uwe na huruma nami, Mungu, kwa maana watu wananishambulia! Muda wote wale wanao pigana nami hunikaribia zaidi ili wanishambulie.
GAEASE nu guajo, O Yuus; sa y taotao malago na ujapañotyo; mumumo todot dia, ya jachichiguityo.
2 Adui zangu hunikanyaga muda wote; maana ni wengi ambao kwa kiburi hupigana dhidi yangu.
Todot dia y enemigujo manmalago na ujapañotyo; sa megae mamumujo ya mansobetbio.
3 Wakati nina woga, nitaweka imani yangu katika wewe.
Jafaja na tiempo nae maañaoyo, juangocojayo guiya jago.
4 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu - nimeweka imani yangu katika Mungu; sitaogopa; mtu wa kawaida atanifanya nini?
Gui as Yuus jualaba y finoña; gui as Yuus nae jagasja jupolo y inangococo, ti maañaoyo; jafa ufatinas y catne guiya guajo?
5 Muda wote wanayageuza maneno yangu; mawazo yao yote yako kinyume na mimi kwa ajili ya uovu.
Todot dia mabira y sinanganjo; sa todo y jinasoñija contra guajo para tinaelaye.
6 Wanajikusanya kwa pamoja, wanajificha wenyewe, na kuzifuatilia hatua zangu, wakisubiri kuniua.
Mandaña ya manatog maesasija; ya magueguesatituye y pinecatjo, anae jagas mananangga sija y antijo.
7 Usiwaache waikimbie adhabu yako kwa ajili ya uovu wao. Uwaangushe watu chini katika hasira yako, Mungu.
Ufanescapa nu y tinaelaye? gui binibo nae unyute papa y taotao sija, O Yuus.
8 Wewe unahesabu kutangatanga kwangu na kuweka machozi yangu kwenye chupa yako; je, hayako kitabuni mwako?
Jago sumangan y jinanaojo; polo gui jalom boteyamo y lagojo: manaegüe sija gui leblomo?
9 Ndipo maadui zangu watakimbia katika siku ile nikuitapo wewe; hili najua, kwamba Mungu yupo kwa ajili yangu.
Ayo nae, ujabira sija tate y enemigujo y jaane nae juagangjao; este jutungo, na si Yuus para guajo.
10 Katika Mungu ambaye neno lake ninalisifu, katika Yahwe ambaye neno lake ninalisifu,
Gui as Yuus jualaba y finoña: gui as Jeova jualaba y finona.
11 katika Mungu ninaamini, sitaogopa. Yeyote atanifanya nini?
Gui as Yuus nae jagasja jupolo y inangococo; ya siempre ti jumaañao; jafa y taotao ufatinas guiya guajo?
12 Wajibu wa kutimiza viapo vyangu kwako uko juu yangu, Mungu; nitatoa sadaka ya shukurani.
Y promesamo gaegue guiya guajo, O Yuus: ya juapasejao siempre ni y inefresen grasias.
13 Kwa kuwa umeokoa uhai wangu na mauti; umezuia miguu yangu isianguke, ili kwamba niweze kutembea mbele ya Mungu katika nuru ya uhai.
Sa jagasja unnalibre y antijo gui finatae; ti siempre unnalibre y adengjo an podong? para jufamocat gui menan Yuus gui candet y manlálâlâ.

< Zaburi 56 >