< Zaburi 55 >
1 Uyategee sikio maombi yangu, Mungu; nawe usijifiche mbali na kusihi kwangu.
JUNGOG y tinaetaejo, O Yuus: ya chamo umaatog maesa jao gui guinagaojo.
2 Unitazame kwa makini na unijibu; Sina pumziko katika shida zangu
Atituyeyo, ya opeyo: sa inestotbayo gui trinistieco, ya umugongyo;
3 kwa sababu ya sauti ya adui zangu, kwa sababu ya ukandamizaji wa waovu; maana wananiletea matatizo na kunitesa wakiwa na hasira.
Sa pot y inagang y enemigo: sa pot y chiniguit y manaelaye; sa mayute y tinaelaye gui jilojo, ya pot y biniboñija, na machatliiyo, japetsigueyo.
4 Moyo wangu wasumbuka ndani yangu, na hofu ya kifo imeniangukia.
Y corasonjo gospute gui sumanjalomjo: yan y minaañao y finatae podong gui jilojo.
5 Uwoga na kutetemeka kumenijia, nayo hofu imenielemea.
Minaañao yan linaolao, manmato guiya guajo; y linijan ñumoñoyo.
6 Nikasema, “Oh, kama tu ningekuwa na mabawa kama njiwa! Ningelipaa mbali na kupata pumziko.
Ya ilegco: O mojon yanguin gaepapayo, taegüije y paluma! ayo nae jugupo chago, ya judescansa.
7 Tazama, ningeenda mbali; ningekaa jangwani. (Selah)
Estagüe, ayo nae jujanao chago, ya jusaga gui jalomtano. (Sila)
8 Ningefanya haraka kuja mafichoni mwako kuzikimbia dhoruba na tufani.”
Mojon bae jualula malag y guinegüe, guinin y duron manglo yan y pinagyo.
9 Uwaangamize, Bwana, vuruga lugha zao! Kwa maana nimeona vurugu na ugomvi katika mji.
Yulang, O Jeova, ya ipe y jilañija; sa jagasja julie y fijom na manaelaye, ya y manmanpotfifia gui siuda.
10 Mchana na usiku wao huenda kwenye kuta zake; uchafu na ufisadi uko katikati yake.
Jaane yan puenge manjajanao gui sumanjilo y quelatña: inechong yan inacacha mangaegue gui entaloña.
11 Uovu uko katikati yake; ukandamizaji na uongo hauiachi mitaa yake.
Manaelaye mangaegue gui entaloña; chiniguit yan dinague ti usuja gui chalanña.
12 Kwa maana hakuwa adui aliye nikemea, hivyo ningevumilia; wala ingekuwa ni yule aliye nichukia aliyejiinua mwenyewe dhidi yagu, hivyo ningejificha asinione.
Sa ti y enemigo lumalatdeyo; ayo nae siña jusungon; ni ti ayo y chumatliiyo ni y munadangculo güe contra guajo: ayo nae junaatog maesayo guiya güiya.
13 Lakini ulikuwa wewe, mtu sawa na mimi, mwenzangu na rafiki yangu.
Lao jagoja, un taotao, ni y parejujo, yan y gachongjo, yan y senjuguflie na amigujo.
14 Tulikuwa na ushirika mtamu pamoja; tuliingia katika nyumba ya Mungu tukiwa na umati mkubwa.
Sa y mamis na inangoco manasangane jam y jinasonmame; ya tafanmamocat yan linajyan taotao gui guimayuus.
15 Kifo na kiwapate ghafla; na washuke wakiwa hai kuzimuni, maana ndiko waishiko waovu, hapo hapo kati yao. (Sheol )
Polo sija ya derepente ufanchinile ni y finatae: polosija ya ufansinetta papa manlalâlâ guiya sasalaguan; sa guaja y manaelaye gui sagañija yan y sanjalomñija. (Sheol )
16 Lakini kwangu mimi, nitamwita Mungu, na Yahwe ataniokoa.
Lao guajo, bae juagang si Yuus; ya si Jeova usatbayo.
17 Wakati wa jioni, asubuhi na mchana ninalalamika na kuomboleza; yeye atasikia sauti yangu.
Pupuenge, ogaan, yan taloane, jufanjaso ya juagang duro, ya güiya ujungog y inaganjo.
18 Kwa usalama kabisa atayaokoa maisha yangu na vita dhidi yangu, kwa maana wale waliopigana nami walikuwa ni wengi.
Güiya jagasja munalibre y antijo qui pas, guinin y guera ni y comontrayo: sa megae pumotfifia yo.
19 Mungu, yule unayetawala milele, atawasikia na kuwaaibisha wao. (Selah) Hawabadiliki, na hawamhofu Mungu.
Si Yuus ufaninjingog, ya ufaninepe sija; asta ayo y mañasaga desde y apmam na tiempo. (Sila) Ti taotao sija ni siempre jatulaeca, ya ti manmaañao as Yuus.
20 Rafiki yangu ameinua mikono yake dhidi ya wale waliokuwa na amani naye; Hakuheshimu agano alilokuwa nalo.
Jaestira mona y canaeña contra ayo sija ni y manpas guiya güiya: jayulang y tratuña.
21 Mdomo wake ulikuwa laini kama siagi, lakini moyo wake ulikuwa adui; maneno yake yalikuwa laini kuliko mafuta, lakini yalikuwa ni panga zilizochomolewa.
Y sinangan y pachotña palagseña qui y mantica, lao guera gui jalom corasonña; y sinanganña mananana qui y laña; lao puro ayo sija espada in malagnos.
22 Umtwike mizigo yako Yahwe, naye atakusaidia; yeye hataruhusu mtu mwenye haki kuyumbayumba.
Polo y catgamo gui as Jeova, ya güiya uminantiene; sa taya nae jasotta y manunas ya umanacalamten.
23 Bali wewe, Mungu, utawaleta waovu chini kwenye shimo la uharibifu; watu wenye kiu ya kumwaga damu na waongo hawataishi hata nusu ya maisha kama wengine, lakini mimi nitakuamini wewe.
Lao jago, O Yuus, ufansinetta sija papa gui joyon finatae; sa y manmejgá, yan manfáfababa na taotao sija, ti ufanlâlâ ni lamita gui jaaniñija; lao guajo juangocoyo nu jago.