< Zaburi 53 >

1 Mpumbavu husema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wamepotoka na kufanya machukizo; hakuna mmoja atendaye mema.
Para el director del coro. Según Mahalat. Un salmo (masquil) de David. Solo los tontos se dicen a sí mismos, “Dios no existe”. Son completamente inmorales, cometen pecados terribles, ni uno solo de ellos hace algo bueno.
2 Toka mbinguni Mungu hutazama chini kwa wanadamu kuona kama kuna yeyote mweye akili, amtafutaye yeye.
Dios observa desde los cielos para ver si alguien entiende, si alguien quiere venir a él.
3 Wote wamekengeuka. Kwa pamoja wamepotoka. Hakuna atendaye mema, hata mmoja.
Todos han caído, son totalmente depravados; ninguno hace el bien, ni siquiera uno.
4 Je, wale wanao fanya uovu hawana uelewa - wale walao watu wangu kana kwamba wanakula mkate na hawamuiti Mungu?
“¿Nunca aprenderá este pueblo que hace el mal? Consumen a mi pueblo como si estuvieran comiendo pan, y se niegan a invocar mi nombre”.
5 Wao walikuwa katika hofu kuu, ingawa hakuna sababu ya kuogopa ilikuwepo hapo; maana Mungu ataitawanya mifupa ya yeyote atakaye kusanyika dhidi yako; watu kama hao wataaibishwa kwa sababu Mungu amewakataa wao.
Se aterrorizarán por completo, tendrán más miedo del que nunca han tenido. Dios esparcirá los huesos de los que pelean contra ti; los derrotarás porque Dios los ha rechazado.
6 Oh, kwamba wokovu wa Israel ungepatikana Sayuni! Wakati Mungu atakapowaleta watu wake kutoka kifungoni, ndipo Yakobo atashangilia na Israeli itafurahi!
¡Si tan solo la salvación de Dios viniera de Sión! Cuando Dios restaure a su pueblo, el pueblo de Jacob celebrará, y el pueblo de Israel se alegrará.

< Zaburi 53 >