< Zaburi 52 >

1 Kwa nini wewe unajivunia kufanya uovu, wewe mtu mwenye nguvu? Uaminifu wa agano la Mungu huja kila siku.
O Fanalolahio, ino ty firoharohà’o hatsivokarañe? Lomoñandro ty ­fiferenaiñan’ Añahare.
2 Ulimi wako hupanga uharibifu kama wembe mkali, na kufanya udanganyifu.
Mikilily ­fandrotsahañe ty famele’o, manahake ty fiharatse masioñe; ty mpamañahy tia.
3 Wewe unapenda uovu kuliko wema na udanganifu kuliko kuongea haki. (Selah)
Tea’o ty raty te ami’ty soa; i lañitsey ta te hivolan-to. Selà
4 Wewe hupenda maneno ambayo huwaumiza wengine, wewe ulimi mdanganyifu.
No’o ze atao fivolan-katramoañe, ty fameleke mamañahy tia.
5 Vivyo hivyo Mungu atakuadhibu wewe milele; yeye atakuchukua na kukuondoa katika hema yako na kukung'oa katika ardhi ya uhai. (Selah)
Aa le harotsan’Añahare kitro-katroke, ho sintone’e, le hapitso’e amy kiboho’oy, vaho hombota’e an-tanen-kaveloñe. Selà
6 Wenye haki pia wataona na kuogopa; watamcheka na kusema,
Ho isa’ o vantañeo, naho hañeveñe vaho hiankahake ty hoe:
7 “Tazama, huyu ni mtu ambaye hakumfanya Mungu kuwa kimbilio lake la usalama, bali aliamini katika wingi wa mali zake, naye alikuwa na nguvu alipowaharibu wengine.”
Hehe t’indaty tsy nanao an’Andrianañahare ho fipalira’e; fe ty habei’ o vara’eo ty niatoa’e, vaho o fikinia’eo ty nihaozara’e.
8 Lakini kwangu mimi, niko kama mti bora wa mzeituni katika nyumba ya Mungu; Nami nitaamini uaminifu wa agano la Mungu milele na milele.
Aa naho izaho, le hoe sakoa mandrevake añ’anjomban’Añahare ao; iatoako nainai’e donia ty fiferenaiñan’ Añahare,
9 Nitakushukuru wewe daima kwa uliyo tenda. Nitalisubiri jina lako, kwa sababu ni zuri, uweponi mwa wantu wako wa kimungu.
Andriañeko nainai’e irehe, amy te Ihe ty nanao izay, vaho ho tamaeko i tahina’oy ie ty soa añatrefa’ o noro’oo.

< Zaburi 52 >