< Zaburi 52 >

1 Kwa nini wewe unajivunia kufanya uovu, wewe mtu mwenye nguvu? Uaminifu wa agano la Mungu huja kila siku.
Gasa fi dunu! Abuliba: le di da dia wadela: i houba: le hidasala: ? Gode Ea asigidafa hou da eso huluane dialalalumu.
2 Ulimi wako hupanga uharibifu kama wembe mkali, na kufanya udanganyifu.
Di da eno dunu wadela: lesimusa: ilegesa. Dia gona: su da gobimedai mei agoai gala. Di da mae fisili, eso huluane ogogosu sia: hahamonesilala.
3 Wewe unapenda uovu kuliko wema na udanganifu kuliko kuongea haki. (Selah)
Di da wadela: i hou hanane, hou noga: i amo higasa. Di da ogogosu hanane, dafawane sia: amo higasa.
4 Wewe hupenda maneno ambayo huwaumiza wengine, wewe ulimi mdanganyifu.
Di da ogogosu dunu! Di da dia sia: ga eno dunu se nabima: ne hanasa.
5 Vivyo hivyo Mungu atakuadhibu wewe milele; yeye atakuchukua na kukuondoa katika hema yako na kukung'oa katika ardhi ya uhai. (Selah)
Amaiba: le Gode da di eso huluane amane dialoma: ne wadela: lesimu. E da di gaguli, dia diasu amoga di mae esaloma: ne di fadegale fasimu. E da di medole legemu.
6 Wenye haki pia wataona na kuogopa; watamcheka na kusema,
Moloidafa dunu da amo hou ba: beba: le, beda: mu. Amasea, ilia da dima oufesega: ne, amane sia: mu,
7 “Tazama, huyu ni mtu ambaye hakumfanya Mungu kuwa kimbilio lake la usalama, bali aliamini katika wingi wa mali zake, naye alikuwa na nguvu alipowaharibu wengine.”
“Ba: ma! Amo dunu da Godema gaga: su lama: ne hame asi. Be e da ea bagade gagui hou amola ea wadela: i hou amoga e gaga: ma: beyale dawa: i.
8 Lakini kwangu mimi, niko kama mti bora wa mzeituni katika nyumba ya Mungu; Nami nitaamini uaminifu wa agano la Mungu milele na milele.
Be na da olife ifa Gode Ea diasu ganodini heda: lebe, agoane ba: sa. Na da Ea maedafa fisili asigidafa hou amo dafawaneyale dawa: lala.
9 Nitakushukuru wewe daima kwa uliyo tenda. Nitalisubiri jina lako, kwa sababu ni zuri, uweponi mwa wantu wako wa kimungu.
Gode! Na da eso huluane Dia nama hamobe amoba: le Dima nodone sia: nana. Amola Dia fi dunu ilia si da: iya, Dia noga: idafa hou amo olelelalumu.

< Zaburi 52 >