< Zaburi 51 >
1 Unirehemu, Mungu, kwa sababu ya uaminifu wa agano lako; kwa ajili ya wingi wa matendo yako ya rehema, uyafute makosa yangu.
Kathutkung: Devit Oe Cathut, na pahren han ngai e patetlah na pahren haw. Kapap ni teh kahawi e na lungmanae dawkvah, kâtapoenae hah na tha pouh haw.
2 Unioshe kabisa uovu wangu na unisafishe dhambi zangu.
Ka sakpayon e pueng kathoungcalah na pâsu pouh haw. Ka yonnae dawk hoi na thoung sak haw.
3 Kwa maana ninayajua makosa yangu, na dhambi yangu iko mbele yako siku zote.
Kâtapoenae hah ka panue toe. Ka yonnae teh pou ka pouk.
4 Dhidi yako, wewe pekee, nimetenda dhambi na kufanya uovu mbele ya macho yako; uko sawa usemapo; wewe uko sahahi utoapo hukumu.
Nang taranlahoi nang koe roeroe ka yon toe. Na mithmu vah hawihoehnae ka sak toe. Ka kong na dei toteh atang doeh. Lawk na ceng toteh, toun han awm hoeh.
5 Tazama, nilizaliwa katika uovu; pindi tu mama yangu aliponibeba mimba, nilikuwa katika dhambi. Tazama, wewe unahitaji uaminifu ndani ya moyo wangu;
Kai teh payonnae lahoi khe e lah ka o teh, anu ni yon hoi doeh na vawn toe.
6 katika moyo wangu wewe utanifanya niijue hekima.
Lungthin kalan e hah na ngai dawkvah, ka lungthin thung lungangnae hah na cangkhai haw.
7 Unisafishe kwa hisopo, nami nitakuwa safi; unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
Dingsala hoi na hui haw, ka thoung han. Na pâsu haw tadamtui patetlah ka pangaw han.
8 Unifanye kusikia furaha na shangwe ili kwamba mifupa ulioivunja ifurahi.
Na khoe tangcoung e hrunaw konawm nahanlah, konawmnae hoi lunghawinae lawk na thaisak haw.
9 Uufiche uso wako mbali na dhambi zangu na uyafute maovu yangu yote.
Ka yonnae dawk hoi na minhmai hrawk nateh, ka yonnae pueng hah na takhoe pouh haw.
10 Uniumbie moyo safi, Mungu, na uifanye upya roho ya haki ndani yangu.
Oe Cathut, ka thungvah lungthin kathoung bout sak nateh, kai dawk kacakpounge muitha hah bout roung sak haw.
11 Usiniondoe uweponi mwako, na usimuondoe roho Mtakatifu ndani yangu.
Nang koehoi na pâlei hanh lah a. Na Kathoung Muitha teh kai koehoi na lat pouh hanh.
12 Unirudishie furaha ya wokovu wako, na unihifadhi mimi kwa roho ya utayari.
Na rungngangnae dawk konawmnae hah bout na poe haw. Hringpasoungnae na Muitha hoi na kuen haw.
13 Ndipo nitawafundisha wakosaji jia zako, na wenye dhambi watakugeukia wewe.
Hottelah, kâtapoenaw hah na lamthung ka cangkhai vaiteh, tamikayonnaw teh nang koe a kâthung awh han.
14 Unisamehe kwa ajili ya umwagaji damu, Mungu wa wokovu wangu, nami nitapiga kelele za shangwe ya haki yako.
Oe Cathut, kaie rungngangnae Cathut, tami thei e yon hoi na hlout sak haw. Na lannae hah ka lai ni kacaipounglah la a sak han.
15 Ee Bwana, uifungue midomo yangu, na mdomo wangu itazieleza sifa zako.
Oe BAWIPA, ka pahni heh paawng nateh, ka pahni ni na pholen han.
16 Kwa maana wewe haufurahishwi katika sadaka, vinginevyo ningekutolea sadaka; wewe hauwi radhi katika sadaka ya kuteketezwa.
Bangkongtetpawiteh, thuengnae hah na ngai e nahoeh. Hoehpawiteh, yo na poe han doeh toe. Hmaisawi thuengnae dawk hai na lungyouknae awm hoeh.
17 Sadaka ya Mungu ni roho iliyovunjika. Wewe, Mungu hautadharau moyo uliopondeka na kujutia.
Cathut ngai e patetlah thuengnae hateh, muitha rek e hah doeh. Lungthin rek laihoi pankângai e heh, Oe Cathut, banglahai noutna laipalah na awm mahoeh.
18 Uitendee mema Sayuni katika nia yako nzuri; uzijenge tena kuta za Yerusalem.
Zion vah na ngai e hawinae hah sak haw, Jerusalem rapan hah kangdout sak haw.
19 Kisha wewe utafurahia sadaka yenye haki, katika sadaka za kuteketeza; ndipo watu wetu watatoa ng'ombe kwenye madhabahu yako.
Hottelah hoiyah, lannae thuengnae hoi hmaisawi thuengnae hoi takbuem hmaisawi thuengnae dawk na lunghawi vaiteh, na thuengnae khoungroe van vah, maitotan hah a thueng awh han.