< Zaburi 51 >

1 Unirehemu, Mungu, kwa sababu ya uaminifu wa agano lako; kwa ajili ya wingi wa matendo yako ya rehema, uyafute makosa yangu.
GAEASE nu guajo, O Yuus, jaftaemanoja y minauleg güinaeyamo, jaftaemanoja y minegae y minaasemo; fuñas y tinaelayeco.
2 Unioshe kabisa uovu wangu na unisafishe dhambi zangu.
Gosfagaseyo todo ni y tinaelayeco, ya unnagasgasyo ni y isaojo.
3 Kwa maana ninayajua makosa yangu, na dhambi yangu iko mbele yako siku zote.
Sa jutungoja y tinaelayeco: ya y isaojo gaegueja siempre gui menajo.
4 Dhidi yako, wewe pekee, nimetenda dhambi na kufanya uovu mbele ya macho yako; uko sawa usemapo; wewe uko sahahi utoapo hukumu.
Sa contra jago, jagoja, juisagüe, ya jufatinas y daño gui menan matamo: para utunas yanguin cumuentosjao, ya utaefatta yanguin manjusgajao.
5 Tazama, nilizaliwa katika uovu; pindi tu mama yangu aliponibeba mimba, nilikuwa katika dhambi. Tazama, wewe unahitaji uaminifu ndani ya moyo wangu;
Estagüeja, na mafatinasyo gui tinaelaye, yan y isao nae si nanajo mumapotguenaejonyo.
6 katika moyo wangu wewe utanifanya niijue hekima.
Estagüeja, na unguaeya y magajet guiya jalolom; ya y umatog na lugat nae unnatungoyo ni y tiningo.
7 Unisafishe kwa hisopo, nami nitakuwa safi; unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
Nagasgasyo ni hisopo, ya jumuyong gasgas: fagaseyo ya jumuyong apacaña, qui y niebe.
8 Unifanye kusikia furaha na shangwe ili kwamba mifupa ulioivunja ifurahi.
Nafanjungogyo minagof yan y alegria para ufanmagof y telangjo ni y unyamag.
9 Uufiche uso wako mbali na dhambi zangu na uyafute maovu yangu yote.
Naatog y matamo gui isaojo; ya unfunas todo y inechongjo.
10 Uniumbie moyo safi, Mungu, na uifanye upya roho ya haki ndani yangu.
Fatinas gui sumanjalomjo y gasgas na corason, O Yuus; ya unnanuebo y tinas na espiritu gui sumanjalomjo.
11 Usiniondoe uweponi mwako, na usimuondoe roho Mtakatifu ndani yangu.
Chamo yumuyuteyo gui menamo; yan chamo chumuchule y santos na Espiritumo guiya guajo.
12 Unirudishie furaha ya wokovu wako, na unihifadhi mimi kwa roho ya utayari.
Natalo mague guiya guajo y minagof y satbasionmo: ya unmantieneyo ni y libre na Espiritumo.
13 Ndipo nitawafundisha wakosaji jia zako, na wenye dhambi watakugeukia wewe.
Ayo nae jufanagüe y manaelaye ni y chalanmo: ya y maniisao ufanmañotsot guiya jago.
14 Unisamehe kwa ajili ya umwagaji damu, Mungu wa wokovu wangu, nami nitapiga kelele za shangwe ya haki yako.
Nalibreyo gui isao gui jâgâ, O Yuus, jago Yuus y satbasinojo; ya y jilajo ucanta agang ni y tininasmo.
15 Ee Bwana, uifungue midomo yangu, na mdomo wangu itazieleza sifa zako.
O Jeova, baba y labiosso: ya y pachotto ufamanue ni y matunamo.
16 Kwa maana wewe haufurahishwi katika sadaka, vinginevyo ningekutolea sadaka; wewe hauwi radhi katika sadaka ya kuteketezwa.
Sa ti yamo inefrese para junaejao; ti magofjao ni y inefresen sinenggue.
17 Sadaka ya Mungu ni roho iliyovunjika. Wewe, Mungu hautadharau moyo uliopondeka na kujutia.
Y inefrese para si Yuus, manmayamag na espiritu: y mayamag yan y pinite na corason, O Yuus, jago siempre ti undespresia.
18 Uitendee mema Sayuni katika nia yako nzuri; uzijenge tena kuta za Yerusalem.
Fatinas mauleg, ni y minauleg minagofmo, guiya Sion; fatinas y quelat Jerusalem.
19 Kisha wewe utafurahia sadaka yenye haki, katika sadaka za kuteketeza; ndipo watu wetu watatoa ng'ombe kwenye madhabahu yako.
Ayo nae unmagof ni y inefresen tininas, y inefresen sinenggue yan y cabales na inefresen sinenggue: Ayo nae unmaofrese nubiyo gui attatmo.

< Zaburi 51 >