< Zaburi 50 >

1 Mungu, Mwenye nguvu, Yahwe, amenena naye aliita nchi toka mawio ya jua mpaka machweo yake.
مزمور آساف خدا، خدا یهوه تکلم می‌کند و زمین رااز مطلع آفتاب تا به مغربش می‌خواند.۱
2 Tokea Sayuni, Mungu ameangaza, ukamilifu wa uzuri.
از صهیون که کمال زیبایی است، خدا تجلی نموده است.۲
3 Mungu wetu huja naye hakai kimya; mbele yake moto hula, na kuna dhoruba kubwa karibu naye.
خدای ما می‌آید و سکوت نخواهد نمود. آتش پیش روی او می‌بلعد. وطوفان شدید گرداگرد وی خواهد بود.۳
4 Yeye huziita mbingu zilizo juu na nchi ili kwamba aweze kuwahukumu watu wake:
آسمان را از بالا می‌خواند و زمین را، تا قوم خود راداوری کند:۴
5 Kwa pamoja kusanyikeni waaminifu wangu kwangu, wale waliofanya nami agano kwa sadaka.”
«مقدسان مرا نزد من جمع کنید، که عهد را با من به قربانی بسته‌اند.»۵
6 Mbingu zitatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ndiye jaji. Serah
و آسمانها ازانصاف او خبر خواهند داد. زیرا خدا خود داوراست، سلاه.۶
7 Sikilizeni, watu wangu, nami nitazungumza; mimi ni Mungu, Mungu wenu.
«ای قوم من بشنوتا سخن گویم. و‌ای اسرائیل تا برایت شهادت دهم که خدا، خدای تومن هستم.۷
8 Sitawakaripia ninyi kwa ajili ya sadaka zenu; sadaka zenu za kuteketeza ziko nami siku zote.
درباره قربانی هایت تو را توبیخ نمی کنم و قربانی های سوختنی تو دائم در نظرمن است.۸
9 Sitachukua ng'ombe katika nyumba yenu, wala beberu katika mazizi yenu.
گوساله‌ای از خانه تو نمی گیرم و نه بزی از آغل تو.۹
10 Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, nao ng'ombe kwenye milima elfu ni wangu.
زیراکه جمیع حیوانات جنگل از آن منند و بهایمی که بر هزاران کوه می‌باشند.۱۰
11 Ninawajua ndege wa mlimani, na wanyama pori katika shamba ni wangu.
همه پرندگان کوهها را می‌شناسم و وحوش صحرا نزد من حاضرند.۱۱
12 Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi; maana ulimwengu ni wangu, na vyote vilivyomo.
اگر گرسنه می‌بودم تورا خبر نمی دادم. زیرا ربع مسکون و پری آن از آن من است.۱۲
13 Je! sitakula nyama ya ngombe na kunywa damu ya mbuzi?
آیا گوشت گاوان را بخورم و خون بزها را بنوشم؟۱۳
14 Mtoleeni Mungu sadaka za shukurani, na mlipe viapo vyenu kwa Aliye Juu.
برای خدا قربانی تشکر رابگذران، و نذرهای خویش را به حضرت اعلی وفانما.۱۴
15 Mniite katika siku ya shida; nami nitawaokoa
پس در روز تنگی مرا بخوان تا تو راخلاصی دهم و مرا تمجید بنمایی.»۱۵
16 Lakini kwa waovu Mungu anasema, “Inawahusu nini kuitangaza hali yangu, kwamba ninyi mmeliweka agano langu mdomoni mwenu,
و اما به شریر خدا می‌گوید: «ترا چه‌کاراست که فرایض مرا بیان کنی و عهد مرا به زبان خود بیاوری؟۱۶
17 wakati ninyi mnayachukia maelekezo na mnayatupa maneno yangu?
چونکه تو از تادیب نفرت داشته‌ای و کلام مرا پشت سر خود انداخته‌ای.۱۷
18 Mumuanapo mwizi, ninyi hukubaliana naye; ninyi na mnashirikiana na wale wafanyao uasherati.
چون دزد را دیدی او را پسند کردی و نصیب تو با زناکاران است.۱۸
19 Mwautoa mdomo wenu kwa mabaya, huelezea udanganyifu.
دهان خود را به شرارت گشوده‌ای و زبانت حیله را اختراع می‌کند.۱۹
20 Mnakaa na kuongea dhidi ya ndugu yenu; na kukashfu mwana wa mama yenu.
نشسته‌ای تا به ضد برادر خود سخن رانی ودرباره پسر مادر خویش غیبت‌گویی.۲۰
21 Mmefanya mambo haya, lakini nimekaa kimya, hivyo mlidhani kuwa ni mtu flani nilliye kama ninyi mlivyo. Lakini nitawakaripia ninyi na kuwafunua, mbele ya macho yenu, mambo yote miliyofanya.
این راکردی و من سکوت نمودم. پس گمان بردی که من مثل تو هستم. لیکن تو را توبیخ خواهم کرد. و این را پیش نظر تو به ترتیب خواهم نهاد.۲۱
22 Mlitilie maanani hili, ninyi mnao msahau Mungu, vinginevyo nitawakata ninyi vipande vipande, na hatakuwepo yeyote wakuja kuwasaidia!
‌ای فراموش کنندگان خدا، در این تفکر کنید! مباداشما را بدرم و رهاننده‌ای نباشد.۲۲
23 Yule atoaye sadaka ya shukurani hunitukuza, na yeyote apangaye njia zake katika namna iliyo sahihi nitamuonesha wokovu wa Mungu.”
هر‌که قربانی تشکر را گذراند مرا تمجید می‌کند. و آنکه طریق خود را راست سازد، نجات خدا را به وی نشان خواهم داد.»۲۳

< Zaburi 50 >