< Zaburi 50 >

1 Mungu, Mwenye nguvu, Yahwe, amenena naye aliita nchi toka mawio ya jua mpaka machweo yake.
아삽의 시 전능하신 자 하나님 여호와께서 말씀하사 해 돋는 데서부터 지는 데까지 세상을 부르셨도다
2 Tokea Sayuni, Mungu ameangaza, ukamilifu wa uzuri.
온전히 아름다운 시온에서 하나님이 빛을 발하셨도다
3 Mungu wetu huja naye hakai kimya; mbele yake moto hula, na kuna dhoruba kubwa karibu naye.
우리 하나님이 임하사 잠잠치 아니하시니 그 앞에는 불이 삼키고 그 사방에는 광풍이 불리로다
4 Yeye huziita mbingu zilizo juu na nchi ili kwamba aweze kuwahukumu watu wake:
하나님이 그 백성을 판단하시려고 윗 하늘과 아래 땅에 반포하여
5 Kwa pamoja kusanyikeni waaminifu wangu kwangu, wale waliofanya nami agano kwa sadaka.”
이르시되 나의 성도를 너의 앞에 모으라 곧 제사로 나와 언약한 자니라 하시도다
6 Mbingu zitatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ndiye jaji. Serah
하늘이 그 공의를 선포하리니 하나님 그는 심판장이심이로다(셀라)
7 Sikilizeni, watu wangu, nami nitazungumza; mimi ni Mungu, Mungu wenu.
내 백성아 들을지어다 내가 말하리라 이스라엘아 내가 네게 증거하리라 나는 하나님 곧 네 하나님이로다
8 Sitawakaripia ninyi kwa ajili ya sadaka zenu; sadaka zenu za kuteketeza ziko nami siku zote.
내가 너의 제물을 인하여는 너를 책망치 아니하리니 네 번제가 항상 내 앞에 있음이로다
9 Sitachukua ng'ombe katika nyumba yenu, wala beberu katika mazizi yenu.
내가 네 집에서 수소나 네 우리에서 수염소를 취치 아니하리니
10 Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, nao ng'ombe kwenye milima elfu ni wangu.
이는 삼림의 짐승들과 천산의 생축이 다 내 것이며
11 Ninawajua ndege wa mlimani, na wanyama pori katika shamba ni wangu.
산의 새들도 나의 아는 것이며 들의 짐승도 내 것임이로다
12 Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi; maana ulimwengu ni wangu, na vyote vilivyomo.
내가 가령 주려도 네게 이르지 않을 것은 세계와 거기 충만한 것이 내 것임이로다
13 Je! sitakula nyama ya ngombe na kunywa damu ya mbuzi?
내가 수소의 고기를 먹으며 염소의 피를 마시겠느냐
14 Mtoleeni Mungu sadaka za shukurani, na mlipe viapo vyenu kwa Aliye Juu.
감사로 하나님께 제사를 드리며 지극히 높으신 자에게 네 서원을 갚으며
15 Mniite katika siku ya shida; nami nitawaokoa
환난 날에 나를 부르라 내가 너를 건지리니 네가 나를 영화롭게 하리로다
16 Lakini kwa waovu Mungu anasema, “Inawahusu nini kuitangaza hali yangu, kwamba ninyi mmeliweka agano langu mdomoni mwenu,
악인에게는 하나님이 이르시되 네가 어찌 내 율례를 전하며 내 언약을 네 입에 두느냐
17 wakati ninyi mnayachukia maelekezo na mnayatupa maneno yangu?
네가 교훈을 미워하고 내 말을 네 뒤로 던지며
18 Mumuanapo mwizi, ninyi hukubaliana naye; ninyi na mnashirikiana na wale wafanyao uasherati.
도적을 본즉 연합하고 간음하는 자와 동류가 되며
19 Mwautoa mdomo wenu kwa mabaya, huelezea udanganyifu.
네 입을 악에게 주고 네 혀로 궤사를 지으며
20 Mnakaa na kuongea dhidi ya ndugu yenu; na kukashfu mwana wa mama yenu.
앉아서 네 형제를 공박하며 네 어미의 아들을 비방하는도다
21 Mmefanya mambo haya, lakini nimekaa kimya, hivyo mlidhani kuwa ni mtu flani nilliye kama ninyi mlivyo. Lakini nitawakaripia ninyi na kuwafunua, mbele ya macho yenu, mambo yote miliyofanya.
네가 이 일을 행하여도 내가 잠잠하였더니 네가 나를 너와 같은 줄로 생각하였도다 그러나 내가 너를 책망하여 네 죄를 네 목전에 차례로 베풀리라 하시는도다
22 Mlitilie maanani hili, ninyi mnao msahau Mungu, vinginevyo nitawakata ninyi vipande vipande, na hatakuwepo yeyote wakuja kuwasaidia!
하나님을 잊어버린 너희여 이제 이를 생각하라 그렇지 않으면 내가 너희를 찢으리니 건질 자 없으리라
23 Yule atoaye sadaka ya shukurani hunitukuza, na yeyote apangaye njia zake katika namna iliyo sahihi nitamuonesha wokovu wa Mungu.”
감사로 제사를 드리는 자가 나를 영화롭게 하나니 그 행위를 옳게 하는 자에게 내가 하나님의 구원을 보이리라

< Zaburi 50 >