< Zaburi 50 >

1 Mungu, Mwenye nguvu, Yahwe, amenena naye aliita nchi toka mawio ya jua mpaka machweo yake.
Parla il Signore, Dio degli dei, convoca la terra da oriente a occidente. Salmo. Di Asaf.
2 Tokea Sayuni, Mungu ameangaza, ukamilifu wa uzuri.
Da Sion, splendore di bellezza, Dio rifulge.
3 Mungu wetu huja naye hakai kimya; mbele yake moto hula, na kuna dhoruba kubwa karibu naye.
Viene il nostro Dio e non sta in silenzio; davanti a lui un fuoco divorante, intorno a lui si scatena la tempesta.
4 Yeye huziita mbingu zilizo juu na nchi ili kwamba aweze kuwahukumu watu wake:
Convoca il cielo dall'alto e la terra al giudizio del suo popolo:
5 Kwa pamoja kusanyikeni waaminifu wangu kwangu, wale waliofanya nami agano kwa sadaka.”
«Davanti a me riunite i miei fedeli, che hanno sancito con me l'alleanza offrendo un sacrificio».
6 Mbingu zitatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ndiye jaji. Serah
Il cielo annunzi la sua giustizia, Dio è il giudice.
7 Sikilizeni, watu wangu, nami nitazungumza; mimi ni Mungu, Mungu wenu.
«Ascolta, popolo mio, voglio parlare, testimonierò contro di te, Israele: Io sono Dio, il tuo Dio.
8 Sitawakaripia ninyi kwa ajili ya sadaka zenu; sadaka zenu za kuteketeza ziko nami siku zote.
Non ti rimprovero per i tuoi sacrifici; i tuoi olocausti mi stanno sempre davanti.
9 Sitachukua ng'ombe katika nyumba yenu, wala beberu katika mazizi yenu.
Non prenderò giovenchi dalla tua casa, né capri dai tuoi recinti.
10 Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, nao ng'ombe kwenye milima elfu ni wangu.
Sono mie tutte le bestie della foresta, animali a migliaia sui monti.
11 Ninawajua ndege wa mlimani, na wanyama pori katika shamba ni wangu.
Conosco tutti gli uccelli del cielo, è mio ciò che si muove nella campagna.
12 Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi; maana ulimwengu ni wangu, na vyote vilivyomo.
Se avessi fame, a te non lo direi: mio è il mondo e quanto contiene.
13 Je! sitakula nyama ya ngombe na kunywa damu ya mbuzi?
Mangerò forse la carne dei tori, berrò forse il sangue dei capri?
14 Mtoleeni Mungu sadaka za shukurani, na mlipe viapo vyenu kwa Aliye Juu.
Offri a Dio un sacrificio di lode e sciogli all'Altissimo i tuoi voti;
15 Mniite katika siku ya shida; nami nitawaokoa
invocami nel giorno della sventura: ti salverò e tu mi darai gloria».
16 Lakini kwa waovu Mungu anasema, “Inawahusu nini kuitangaza hali yangu, kwamba ninyi mmeliweka agano langu mdomoni mwenu,
All'empio dice Dio: «Perché vai ripetendo i miei decreti e hai sempre in bocca la mia alleanza,
17 wakati ninyi mnayachukia maelekezo na mnayatupa maneno yangu?
tu che detesti la disciplina e le mie parole te le getti alle spalle?
18 Mumuanapo mwizi, ninyi hukubaliana naye; ninyi na mnashirikiana na wale wafanyao uasherati.
Se vedi un ladro, corri con lui; e degli adùlteri ti fai compagno.
19 Mwautoa mdomo wenu kwa mabaya, huelezea udanganyifu.
Abbandoni la tua bocca al male e la tua lingua ordisce inganni.
20 Mnakaa na kuongea dhidi ya ndugu yenu; na kukashfu mwana wa mama yenu.
Ti siedi, parli contro il tuo fratello, getti fango contro il figlio di tua madre.
21 Mmefanya mambo haya, lakini nimekaa kimya, hivyo mlidhani kuwa ni mtu flani nilliye kama ninyi mlivyo. Lakini nitawakaripia ninyi na kuwafunua, mbele ya macho yenu, mambo yote miliyofanya.
Hai fatto questo e dovrei tacere? forse credevi ch'io fossi come te! Ti rimprovero: ti pongo innanzi i tuoi peccati».
22 Mlitilie maanani hili, ninyi mnao msahau Mungu, vinginevyo nitawakata ninyi vipande vipande, na hatakuwepo yeyote wakuja kuwasaidia!
Capite questo voi che dimenticate Dio, perché non mi adiri e nessuno vi salvi.
23 Yule atoaye sadaka ya shukurani hunitukuza, na yeyote apangaye njia zake katika namna iliyo sahihi nitamuonesha wokovu wa Mungu.”
Chi offre il sacrificio di lode, questi mi onora, a chi cammina per la retta via mostrerò la salvezza di Dio.

< Zaburi 50 >