< Zaburi 50 >

1 Mungu, Mwenye nguvu, Yahwe, amenena naye aliita nchi toka mawio ya jua mpaka machweo yake.
מזמור לאסף אל אלהים יהוה דבר ויקרא ארץ ממזרח שמש עד מבאו׃
2 Tokea Sayuni, Mungu ameangaza, ukamilifu wa uzuri.
מציון מכלל יפי אלהים הופיע׃
3 Mungu wetu huja naye hakai kimya; mbele yake moto hula, na kuna dhoruba kubwa karibu naye.
יבא אלהינו ואל יחרש אש לפניו תאכל וסביביו נשערה מאד׃
4 Yeye huziita mbingu zilizo juu na nchi ili kwamba aweze kuwahukumu watu wake:
יקרא אל השמים מעל ואל הארץ לדין עמו׃
5 Kwa pamoja kusanyikeni waaminifu wangu kwangu, wale waliofanya nami agano kwa sadaka.”
אספו לי חסידי כרתי בריתי עלי זבח׃
6 Mbingu zitatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ndiye jaji. Serah
ויגידו שמים צדקו כי אלהים שפט הוא סלה׃
7 Sikilizeni, watu wangu, nami nitazungumza; mimi ni Mungu, Mungu wenu.
שמעה עמי ואדברה ישראל ואעידה בך אלהים אלהיך אנכי׃
8 Sitawakaripia ninyi kwa ajili ya sadaka zenu; sadaka zenu za kuteketeza ziko nami siku zote.
לא על זבחיך אוכיחך ועולתיך לנגדי תמיד׃
9 Sitachukua ng'ombe katika nyumba yenu, wala beberu katika mazizi yenu.
לא אקח מביתך פר ממכלאתיך עתודים׃
10 Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, nao ng'ombe kwenye milima elfu ni wangu.
כי לי כל חיתו יער בהמות בהררי אלף׃
11 Ninawajua ndege wa mlimani, na wanyama pori katika shamba ni wangu.
ידעתי כל עוף הרים וזיז שדי עמדי׃
12 Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi; maana ulimwengu ni wangu, na vyote vilivyomo.
אם ארעב לא אמר לך כי לי תבל ומלאה׃
13 Je! sitakula nyama ya ngombe na kunywa damu ya mbuzi?
האוכל בשר אבירים ודם עתודים אשתה׃
14 Mtoleeni Mungu sadaka za shukurani, na mlipe viapo vyenu kwa Aliye Juu.
זבח לאלהים תודה ושלם לעליון נדריך׃
15 Mniite katika siku ya shida; nami nitawaokoa
וקראני ביום צרה אחלצך ותכבדני׃
16 Lakini kwa waovu Mungu anasema, “Inawahusu nini kuitangaza hali yangu, kwamba ninyi mmeliweka agano langu mdomoni mwenu,
ולרשע אמר אלהים מה לך לספר חקי ותשא בריתי עלי פיך׃
17 wakati ninyi mnayachukia maelekezo na mnayatupa maneno yangu?
ואתה שנאת מוסר ותשלך דברי אחריך׃
18 Mumuanapo mwizi, ninyi hukubaliana naye; ninyi na mnashirikiana na wale wafanyao uasherati.
אם ראית גנב ותרץ עמו ועם מנאפים חלקך׃
19 Mwautoa mdomo wenu kwa mabaya, huelezea udanganyifu.
פיך שלחת ברעה ולשונך תצמיד מרמה׃
20 Mnakaa na kuongea dhidi ya ndugu yenu; na kukashfu mwana wa mama yenu.
תשב באחיך תדבר בבן אמך תתן דפי׃
21 Mmefanya mambo haya, lakini nimekaa kimya, hivyo mlidhani kuwa ni mtu flani nilliye kama ninyi mlivyo. Lakini nitawakaripia ninyi na kuwafunua, mbele ya macho yenu, mambo yote miliyofanya.
אלה עשית והחרשתי דמית היות אהיה כמוך אוכיחך ואערכה לעיניך׃
22 Mlitilie maanani hili, ninyi mnao msahau Mungu, vinginevyo nitawakata ninyi vipande vipande, na hatakuwepo yeyote wakuja kuwasaidia!
בינו נא זאת שכחי אלוה פן אטרף ואין מציל׃
23 Yule atoaye sadaka ya shukurani hunitukuza, na yeyote apangaye njia zake katika namna iliyo sahihi nitamuonesha wokovu wa Mungu.”
זבח תודה יכבדנני ושם דרך אראנו בישע אלהים׃

< Zaburi 50 >