< Zaburi 5 >

1 Sikiliza nikuitapo, Yahweh; tazama kuugua kwangu.
برای سالار مغنیان برذوات نفخه. مزمور داود ای خداوند، به سخنان من گوش بده! درتفکر من تامل فرما!۱
2 Sikiliza sauti yangu nikuitapo, Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa kuwa ni kwako Bwana naomba.
‌ای پادشاه و خدای من، به آواز فریادم توجه کن زیرا که نزد تو دعامی کنم.۲
3 Yahweh; sikia kilio changu asubuhi; na asubuhi nitaleta dua yangu kwako na kungoja kwa matarajio.
‌ای خداوند صبحگاهان آواز مراخواهی شنید؛ بامدادان (دعای خود را) نزد توآراسته می‌کنم و انتظار می‌کشم.۳
4 Hakika wewe ni Mungu usiye kubaliana na uovu; watu waovu hawawezi kuwa wageni wako.
زیرا تو خدایی نیستی که به شرارت راغب باشی، و گناهکار نزدتو ساکن نخواهد شد.۴
5 Wenye kiburi hawata simama katika uwepo wako; wewe unawachukia wote wanaofanya maovu.
متکبران در نظر تونخواهند ایستاد. از همه بطالت کنندگان نفرت می‌کنی.۵
6 Nawe utawaharibu waongo; Yahweh huwadharau vurugu na watu wadanganyifu.
دروغ‌گویان را هلاک خواهی ساخت. خداوند شخص خونی و حیله گر را مکروه می‌دارد.۶
7 Lakini kwangu mimi, kwa sababu ya ukuu na uaminifu wa agano lako, nitakuja nyumbani mwako; na kwa heshima nitakuinamia mbele ya hekalu lako takatifu.
و اما من از کثرت رحمت تو به خانه ات داخل خواهم شد، و از ترس تو بسوی هیکل قدس تو عبادت خواهم نمود.۷
8 Oh Bwana, uniongoze katika haki yako kwa sababu ya adui zangu; usawazishe njia yako mbele yangu.
‌ای خداوند، بسبب دشمنانم مرا به عدالت خود هدایت نما وراه خود را پیش روی من راست گردان.۸
9 Kwa kuwa midomoni mwao hamna ukweli; utu wao wa ndani ni mwovu; makoo yao ni kaburi lililo wazi; husifu kinafiki kwa ulimi wao.
زیرا در زبان ایشان راستی نیست؛ باطن ایشان محض شرارت است؛ گلوی ایشان قبرگشاده است و زبانهای خود را جلا می‌دهند.۹
10 Mungu, wafanye kuwa na hatia; mipango yao iwe kuanguka kwao! Kwa ajili ya makosa yao mengi uwatoe nje, kwa kuwa wamekuasi wewe.
‌ای خدا، ایشان را ملزم ساز تا به‌سبب مشورتهای خود بیفتند، و به کثرت خطایای ایشان، ایشان را دور انداز زیرا که بر تو فتنه کرده‌اند،۱۰
11 Bali wale wanao kukimbilia wafurahi; uwafanye wapige kelele kwa shangwe siku zote kwa sababu unawapigania; uwafanye wenye furaha ndani yako, wale walipendao jina lako.
و همه متوکلانت شادی خواهند کرد و تا به ابد ترنم خواهند نمود. زیرا که ملجاء ایشان تو هستی و آنانی که اسم تو را دوست می‌دارند درتو وجد خواهند نمود.۱۱
12 Kwa maana utawabariki wenye haki, Yahweh; utawazunguka kwa neema kama ngao.
زیرا تو‌ای خداوند مردعادل را برکت خواهی داد، او را به رضامندی مثل سپر احاطه خواهی نمود.۱۲

< Zaburi 5 >