< Zaburi 5 >
1 Sikiliza nikuitapo, Yahweh; tazama kuugua kwangu.
Til sangmesteren, til Nehilot; en salme av David. Vend øret til mine ord, Herre, akt på min tanke!
2 Sikiliza sauti yangu nikuitapo, Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa kuwa ni kwako Bwana naomba.
Merk på mitt klagerop, min konge og min Gud! For til dig beder jeg.
3 Yahweh; sikia kilio changu asubuhi; na asubuhi nitaleta dua yangu kwako na kungoja kwa matarajio.
Herre, årle høre du min røst! Årle legger jeg min sak frem for dig og venter.
4 Hakika wewe ni Mungu usiye kubaliana na uovu; watu waovu hawawezi kuwa wageni wako.
For du er ikke en Gud som har behag i ugudelighet; den onde får ikke bo hos dig.
5 Wenye kiburi hawata simama katika uwepo wako; wewe unawachukia wote wanaofanya maovu.
Overmodige får ikke stå frem for dine øine; du hater alle dem som gjør urett.
6 Nawe utawaharibu waongo; Yahweh huwadharau vurugu na watu wadanganyifu.
Du lar dem som taler løgn, gå til grunne; den blodgjerrige og falske mann er en vederstyggelighet for Herren.
7 Lakini kwangu mimi, kwa sababu ya ukuu na uaminifu wa agano lako, nitakuja nyumbani mwako; na kwa heshima nitakuinamia mbele ya hekalu lako takatifu.
Men jeg går ved din megen miskunn inn i ditt hus, jeg kaster mig ned foran ditt hellige tempel i din frykt.
8 Oh Bwana, uniongoze katika haki yako kwa sababu ya adui zangu; usawazishe njia yako mbele yangu.
Herre, led mig ved din rettferdighet for mine motstanderes skyld, gjør din vei jevn for mitt åsyn!
9 Kwa kuwa midomoni mwao hamna ukweli; utu wao wa ndani ni mwovu; makoo yao ni kaburi lililo wazi; husifu kinafiki kwa ulimi wao.
For det er ikke sannhet i deres munn; deres indre er fordervelse, deres strupe en åpen grav; sin tunge gjør de glatt.
10 Mungu, wafanye kuwa na hatia; mipango yao iwe kuanguka kwao! Kwa ajili ya makosa yao mengi uwatoe nje, kwa kuwa wamekuasi wewe.
Døm dem skyldige, Gud! La dem falle for sine råds skyld, styrt dem ned for deres mange misgjerninger! For de er gjenstridige mot dig.
11 Bali wale wanao kukimbilia wafurahi; uwafanye wapige kelele kwa shangwe siku zote kwa sababu unawapigania; uwafanye wenye furaha ndani yako, wale walipendao jina lako.
Da skal alle de som tar sin tilflukt til dig, glede sig; til evig tid skal de juble, og du skal verne om dem; og de som elsker ditt navn, skal fryde sig i dig.
12 Kwa maana utawabariki wenye haki, Yahweh; utawazunguka kwa neema kama ngao.
For du velsigner den rettferdige, Herre! Som med et skjold dekker du ham med nåde.