< Zaburi 5 >

1 Sikiliza nikuitapo, Yahweh; tazama kuugua kwangu.
Untuk pemimpin kor. Dengan permainan suling. Mazmur Daud. Ya TUHAN, dengarlah kata-kataku, perhatikanlah keluh-kesahku.
2 Sikiliza sauti yangu nikuitapo, Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa kuwa ni kwako Bwana naomba.
Indahkanlah seruanku dan tolonglah aku, ya Rajaku dan Allahku.
3 Yahweh; sikia kilio changu asubuhi; na asubuhi nitaleta dua yangu kwako na kungoja kwa matarajio.
Sebab kepada-Mu aku berdoa, ya TUHAN, dengarlah seruanku di waktu pagi. Pagi-pagi kubawa persembahanku dan kunantikan jawaban-Mu, ya TUHAN.
4 Hakika wewe ni Mungu usiye kubaliana na uovu; watu waovu hawawezi kuwa wageni wako.
Engkau Allah yang tak suka akan kejahatan; orang jahat tak boleh bertamu pada-Mu.
5 Wenye kiburi hawata simama katika uwepo wako; wewe unawachukia wote wanaofanya maovu.
Engkau tak tahan melihat orang congkak, Kaubenci orang yang berbuat jahat.
6 Nawe utawaharibu waongo; Yahweh huwadharau vurugu na watu wadanganyifu.
Kaubinasakan orang-orang yang suka membohong, penipu dan pembunuh Kaupandang rendah.
7 Lakini kwangu mimi, kwa sababu ya ukuu na uaminifu wa agano lako, nitakuja nyumbani mwako; na kwa heshima nitakuinamia mbele ya hekalu lako takatifu.
Tetapi karena kasih-Mu yang besar, aku boleh masuk ke dalam Rumah-Mu. Kusujud ke arah Rumah-Mu yang suci, dan kusembah Engkau dengan khidmat.
8 Oh Bwana, uniongoze katika haki yako kwa sababu ya adui zangu; usawazishe njia yako mbele yangu.
Ya TUHAN, amat banyaklah musuhku! Bimbinglah aku untuk melakukan kehendak-Mu, dan tunjukkanlah jalan-Mu yang harus kutempuh.
9 Kwa kuwa midomoni mwao hamna ukweli; utu wao wa ndani ni mwovu; makoo yao ni kaburi lililo wazi; husifu kinafiki kwa ulimi wao.
Sebab perkataan musuhku tak dapat dipercaya; hati mereka penuh rencana jahat. Kata-kata mereka manis memikat, tetapi batin mereka penuh kebusukan.
10 Mungu, wafanye kuwa na hatia; mipango yao iwe kuanguka kwao! Kwa ajili ya makosa yao mengi uwatoe nje, kwa kuwa wamekuasi wewe.
Hukumlah mereka, ya Allah, biar mereka celaka karena rencananya sendiri. Usirlah mereka karena banyaklah dosa mereka, sebab mereka telah berontak terhadap Engkau.
11 Bali wale wanao kukimbilia wafurahi; uwafanye wapige kelele kwa shangwe siku zote kwa sababu unawapigania; uwafanye wenye furaha ndani yako, wale walipendao jina lako.
Semoga semua orang yang berlindung pada-Mu bergembira dan bersorak-sorai selama-lamanya. Lindungilah orang-orang yang mencintai Engkau, supaya mereka bersukacita karena Engkau.
12 Kwa maana utawabariki wenye haki, Yahweh; utawazunguka kwa neema kama ngao.
Sebab Kauberkati orang yang setia kepada-Mu, Kaulindungi mereka dengan kasih-Mu.

< Zaburi 5 >