< Zaburi 5 >

1 Sikiliza nikuitapo, Yahweh; tazama kuugua kwangu.
Au maître-chantre. — Avec les flûtes. Psaume de David. Prête l'oreille à mes paroles, ô Éternel; Sois attentif à mes soupirs!
2 Sikiliza sauti yangu nikuitapo, Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa kuwa ni kwako Bwana naomba.
Écoute ma voix qui t'implore, ô mon Roi et mon Dieu; Car c'est à toi que s'adresse ma prière.
3 Yahweh; sikia kilio changu asubuhi; na asubuhi nitaleta dua yangu kwako na kungoja kwa matarajio.
Éternel, dès le matin daigne entendre ma voix; Dès le matin je t'offre ma requête, et j'attends!
4 Hakika wewe ni Mungu usiye kubaliana na uovu; watu waovu hawawezi kuwa wageni wako.
Car tu n'es pas un Dieu qui prenne plaisir au mal: Le méchant ne peut séjourner chez toi.
5 Wenye kiburi hawata simama katika uwepo wako; wewe unawachukia wote wanaofanya maovu.
Les orgueilleux ne subsistent pas devant tes yeux; Tu hais tous les ouvriers d'iniquité.
6 Nawe utawaharibu waongo; Yahweh huwadharau vurugu na watu wadanganyifu.
Tu feras périr ceux qui profèrent le mensonge. L'Éternel a horreur de l'homme de sang et de fraude.
7 Lakini kwangu mimi, kwa sababu ya ukuu na uaminifu wa agano lako, nitakuja nyumbani mwako; na kwa heshima nitakuinamia mbele ya hekalu lako takatifu.
Mais moi, par ta grande bonté, j'entrerai dans ta maison; Je me prosternerai dans ton sanctuaire, Avec la crainte qui t'est due.
8 Oh Bwana, uniongoze katika haki yako kwa sababu ya adui zangu; usawazishe njia yako mbele yangu.
Éternel, dirige-moi dans les sentiers de ta justice, A cause de ceux qui épient ma conduite. Aplanis la voie devant moi!
9 Kwa kuwa midomoni mwao hamna ukweli; utu wao wa ndani ni mwovu; makoo yao ni kaburi lililo wazi; husifu kinafiki kwa ulimi wao.
Car il n'y a point de sincérité dans leur bouche; Leur coeur ne pense qu'à détruire; Leur gosier est un sépulcre ouvert; Leur langue est pleine de flatterie.
10 Mungu, wafanye kuwa na hatia; mipango yao iwe kuanguka kwao! Kwa ajili ya makosa yao mengi uwatoe nje, kwa kuwa wamekuasi wewe.
Châtie-les, ô Dieu! Qu'ils échouent dans leurs desseins! Repousse-les à cause de la multitude de leurs crimes; Car ils se sont révoltés contre toi.
11 Bali wale wanao kukimbilia wafurahi; uwafanye wapige kelele kwa shangwe siku zote kwa sababu unawapigania; uwafanye wenye furaha ndani yako, wale walipendao jina lako.
Mais tous ceux qui se confient en toi se réjouiront; Ils pousseront des cris d'allégresse, à jamais. Tu étendras sur eux ta protection. Et ceux qui aiment ton nom Triompheront en toi!
12 Kwa maana utawabariki wenye haki, Yahweh; utawazunguka kwa neema kama ngao.
C'est toi, ô Éternel, qui bénis le juste; Tu l'entoures de ta bienveillance comme d'un bouclier.

< Zaburi 5 >