< Zaburi 5 >
1 Sikiliza nikuitapo, Yahweh; tazama kuugua kwangu.
to/for to conduct to(wards) [the] flute melody to/for David word my to listen [emph?] LORD to understand [emph?] meditation my
2 Sikiliza sauti yangu nikuitapo, Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa kuwa ni kwako Bwana naomba.
to listen [emph?] to/for voice: sound to cry my king my and God my for to(wards) you to pray
3 Yahweh; sikia kilio changu asubuhi; na asubuhi nitaleta dua yangu kwako na kungoja kwa matarajio.
LORD morning to hear: hear voice my morning to arrange to/for you and to watch
4 Hakika wewe ni Mungu usiye kubaliana na uovu; watu waovu hawawezi kuwa wageni wako.
for not God delighting wickedness you(m. s.) not to sojourn you bad: evil
5 Wenye kiburi hawata simama katika uwepo wako; wewe unawachukia wote wanaofanya maovu.
not to stand to be foolish to/for before eye your to hate all to work evil: wickedness
6 Nawe utawaharibu waongo; Yahweh huwadharau vurugu na watu wadanganyifu.
to perish to speak: speak lie man: anyone blood and deceit to abhor LORD
7 Lakini kwangu mimi, kwa sababu ya ukuu na uaminifu wa agano lako, nitakuja nyumbani mwako; na kwa heshima nitakuinamia mbele ya hekalu lako takatifu.
and I in/on/with abundance kindness your to come (in): come house: home your to bow to(wards) temple holiness your in/on/with fear your
8 Oh Bwana, uniongoze katika haki yako kwa sababu ya adui zangu; usawazishe njia yako mbele yangu.
LORD to lead me in/on/with righteousness your because enemy my (to smooth *Q(k)*) to/for face: before my way: conduct your
9 Kwa kuwa midomoni mwao hamna ukweli; utu wao wa ndani ni mwovu; makoo yao ni kaburi lililo wazi; husifu kinafiki kwa ulimi wao.
for nothing in/on/with lip his to establish: right entrails: inner parts their desire grave to open throat their tongue their to smooth [emph?]
10 Mungu, wafanye kuwa na hatia; mipango yao iwe kuanguka kwao! Kwa ajili ya makosa yao mengi uwatoe nje, kwa kuwa wamekuasi wewe.
be guilty them God to fall: fall from counsel their in/on/with abundance transgression their to banish them for to rebel in/on/with you
11 Bali wale wanao kukimbilia wafurahi; uwafanye wapige kelele kwa shangwe siku zote kwa sababu unawapigania; uwafanye wenye furaha ndani yako, wale walipendao jina lako.
and to rejoice all to seek refuge in/on/with you to/for forever: enduring to sing and to cover upon them and to rejoice in/on/with you to love: lover name your
12 Kwa maana utawabariki wenye haki, Yahweh; utawazunguka kwa neema kama ngao.
for you(m. s.) to bless righteous LORD like/as shield acceptance to surround him