< Zaburi 5 >

1 Sikiliza nikuitapo, Yahweh; tazama kuugua kwangu.
Til Sangmesteren; paa Nekiloth; en Psalme af David.
2 Sikiliza sauti yangu nikuitapo, Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa kuwa ni kwako Bwana naomba.
Herre! vend dine Øren til mine Ord, agt paa min Tanke!
3 Yahweh; sikia kilio changu asubuhi; na asubuhi nitaleta dua yangu kwako na kungoja kwa matarajio.
Giv Agt paa mit Raabs Røst, min Konge og min Gud! thi til dig beder jeg.
4 Hakika wewe ni Mungu usiye kubaliana na uovu; watu waovu hawawezi kuwa wageni wako.
Herre! om Morgenen høre du min Røst! jeg vil fremstille mig om Morgenen for dig og vente.
5 Wenye kiburi hawata simama katika uwepo wako; wewe unawachukia wote wanaofanya maovu.
Thi du er ikke en Gud, som har Lyst til Ugudelighed; den onde skal ikke bo hos dig.
6 Nawe utawaharibu waongo; Yahweh huwadharau vurugu na watu wadanganyifu.
Daarer skulle ikke bestaa for dine Øjne! du hader alle dem, som gøre Uret.
7 Lakini kwangu mimi, kwa sababu ya ukuu na uaminifu wa agano lako, nitakuja nyumbani mwako; na kwa heshima nitakuinamia mbele ya hekalu lako takatifu.
Du lader dem, som tale Løgn, gaa til Grunde: Herren har Vederstyggelighed til en blodgerrig og falsk Mand.
8 Oh Bwana, uniongoze katika haki yako kwa sababu ya adui zangu; usawazishe njia yako mbele yangu.
Men jeg vil komme til dit Hus ved din store Miskundhed; jeg vil tilbede imod dit hellige Tempel i din Frygt.
9 Kwa kuwa midomoni mwao hamna ukweli; utu wao wa ndani ni mwovu; makoo yao ni kaburi lililo wazi; husifu kinafiki kwa ulimi wao.
Herre! led mig i din Retfærdighed for mine Fjenders Skyld; jævn din Vej for mit Ansigt!
10 Mungu, wafanye kuwa na hatia; mipango yao iwe kuanguka kwao! Kwa ajili ya makosa yao mengi uwatoe nje, kwa kuwa wamekuasi wewe.
Thi i deres Mund er intet bestandigt; deres Indre er Ondskab; deres Strube er en aaben Grav, de smigre med deres Tunge.
11 Bali wale wanao kukimbilia wafurahi; uwafanye wapige kelele kwa shangwe siku zote kwa sababu unawapigania; uwafanye wenye furaha ndani yako, wale walipendao jina lako.
Gud! døm dem skyldige, at de falde formedelst deres Anslag; nedstød dem for deres mange Overtrædelsers Skyld, thi de ere genstridige imod dig.
12 Kwa maana utawabariki wenye haki, Yahweh; utawazunguka kwa neema kama ngao.
Men alle, som forlade sig paa dig, skulle glæde sig, de skulle fryde sig evindelig, og du skal skjule over dem; og de, som elske dit Navn, skulle fryde sig i dig. Thi du, Herre! velsigner en retfærdig, du dækker ham med Naade som med et Skjold.

< Zaburi 5 >