< Zaburi 49 >

1 Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
Načelniku godbe med nasledniki Koretovimi, psalm. Čujte to, vsa ljudstva, poslušajte, vsi sveta prebivalci:
2 wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
Nizki in visoki; bogatin in siromak enako.
3 Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
Usta moja bodejo govorila razno modrost, in srca mojega premišljevanje mnogotero razumnost.
4 Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
Uho svoje nagnem k priliki, na strunah bodem razodeval uganko svojo.
5 Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
Kaj bi se bal o hudem času, da me ne obdá sledóv mojih krivica,
6 Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
Njih, ki zaupajo v mogočnost svojo, in se ponašajo v obilosti svojega bogastva?
7 Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
Brata nikakor ne more odkupiti nihče, ne dati Bogu odkupnine njegove.
8 Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
(Drag namreč je njih življenja odkup, dà, ni ga vekomaj!)
9 Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
Da bi živel še večno, ne izkusil trohnobe.
10 Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
Vidi namreč, da mrjó modri, enako pogine nespametni in neumni, in drugim pušča bogastvo svoje.
11 Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
Menili so, da se hiše njih stavijo za veke, prebivališča njih za vse rodove, ko so jih imenovali po svojih imenih po deželah.
12 Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
In vendar človek v časti ne bode ostal; podoben postane živalim, ki poginejo.
13 Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
Ta je njih pot, njih upanje; in nasledniki njih odobravajo njih usta.
14 Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
Kakor živino pasla jih bode smrt razpostavljene v grobu, dokler jim gospodujejo pravični tisto jutro, in obliko njih pokonča pekel, iz prebivališča njegovega. (Sheol h7585)
15 Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
Ali Bog bode rešil dušo mojo groba, ko me bode sprejel mogočno. (Sheol h7585)
16 Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
Ne bój se, ko kdo bogat postane, ko se pomnoži domača slava njegova;
17 Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
Ker v smrti ne vzame nič tega sè seboj; za njim ne pojde slava njegova.
18 Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
Ko bode blagoslavljal dušo svojo v življenji svojem, in te bodejo slavili, ker si privoščiš:
19 naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
Da pride noter do dobe očetov svojih, vekomaj vendar ne bodejo uživali luči.
20 Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.
Človek, ki je v čisli a ni razumen, podoben je živini, katera pogine.

< Zaburi 49 >