< Zaburi 49 >
1 Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
В конец, сыном Кореовым, псалом. Услышите сия, вси языцы, внушите, вси живущии по вселенней,
2 wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
земнороднии же и сынове человечестии, вкупе богат и убог.
3 Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
Уста моя возглаголют премудрость, и поучение сердца моего разум.
4 Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
Приклоню в притчу ухо мое, отверзу во псалтири ганание мое.
5 Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
Вскую боюся в день лют? Беззаконие пяты моея обыдет мя.
6 Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
Надеющиися на силу свою и о множестве богатства своего хвалящиися:
7 Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
брат не избавит, избавит ли человек? Не даст Богу измены за ся,
8 Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
и цену избавления души своея: и утрудися в век,
9 Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
и жив будет до конца, не узрит пагубы.
10 Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
Егда увидит премудрыя умирающыя, вкупе безумен и несмыслен погибнут, и оставят чуждим богатство свое.
11 Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
И гроби их жилища их во век, селения их в род и род, нарекоша имена своя на землях.
12 Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
И человек в чести сый не разуме, приложися скотом несмысленным и уподобися им.
13 Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
Сей путь их соблазн им, и по сих во устех своих благоволят.
14 Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol )
Яко овцы во аде положени суть, смерть упасет я: и обладают ими правии заутра, и помощь их обетшает во аде: от славы своея изриновени быша. (Sheol )
15 Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol )
Обаче Бог избавит душу мою из руки адовы, егда приемлет мя. (Sheol )
16 Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
Не убойся, егда разбогатеет человек, или егда умножится слава дому его:
17 Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
яко внегда умрети ему, не возмет вся, ниже снидет с ним слава его.
18 Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
Яко душа его в животе его благословится, исповестся тебе, егда благосотвориши ему.
19 naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
Внидет даже до рода отец своих, даже до века не узрит света.
20 Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.
И человек в чести сый не разуме, приложися скотом несмысленным и уподобися им.