< Zaburi 49 >
1 Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
Przedniejszemu śpiewakowi z synów Korego psalm. Słuchajcie tego wszystkie narody; bierzcie to w uszy wszyscy mieszkający na okręgu ziemi!
2 wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
Tak z ludu pospolitego, jako z ludzi zacnych, tak bogaty jako ubogi!
3 Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
Usta moje będą opowiadały mądrość, a myśl serca mego roztropność.
4 Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
Nakłonię do przypowieści ucha mego, wyłożę przy harfie zagadkę moję.
5 Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
Przeczże się mam bać we złe dni, aby mię nieprawość tych, którzy mię depczą, miała ogarnąć?
6 Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
Którzy ufają bogactwom swoim, a w mnóstwie dostatków swoich chlubią się.
7 Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
Gdyż brata swego nikt żadnym sposobem nie odkupi, ani może dać Bogu okupu jego zań.
8 Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
(Albowiem drogi jest okup duszy ich, i nie może się ostać na wieki.)
9 Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
Aby żył na wieki, a nie oglądał grobu.
10 Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
Bo widzimy, iż i mądrzy umierają, głupi i szalony zarówno giną, a zostawiają, obcym bogactwa swoje.
11 Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
Myślą, że domy ich są wieczne, a przybytki ich trwają od narodu do narodu; przetoż je nazywają od imion swych na ziemi.
12 Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
Ale człowiek we czci nie zostaje, podobnym będąc bydlętom, które giną.
13 Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
Takowa myśl ich głupstwem ich jest, a przecież potomkowie ich pochwalają to usty swemi. (Sela)
14 Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol )
Jako owce w grobie złożeni będą, śmierć ich strawi; ale sprawiedliwi panować będą nad nimi z poranku, a kształt ich zniszczony będzie w grobie, gdy ustąpią z mieszkania swego. (Sheol )
15 Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol )
Ale Bóg wykupi duszę moję z mocy grobu, gdy mię przyjmie. (Sela) (Sheol )
16 Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
Nie bójże się, gdy się kto zbogaci, a gdy się rozmnoży sława domu jego.
17 Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
Bo umierając nie weźmie nic z sobą, ani za nim zstąpi sława jego.
18 Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
A choć duszy swej za żywota swego pobłaża i chwalono go, gdy sobie dobrze czynił:
19 naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
Przecież musi iść za rodziną ojców swych, a na wieki nie ogląda światłości.
20 Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.
Owóż człowiek, który jest we czci, a nie zrozumiewa tego, podobny jest bydlętom, które giną.