< Zaburi 49 >

1 Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
Jusqu'à la Fin. Psaume des fils de Koré. Nations, écoutez toutes ces choses; prêtez une oreille attentive, ô vous tous qui peuplez la terre,
2 wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
Fils de la terre, fils des hommes, riches ou pauvres, réunis au même lieu!
3 Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
Ma bouche te dira la sagesse, et la méditation de mon cœur, l'intelligence.
4 Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
J'inclinerai mon oreille vers la parabole; j'expliquerai ce que j'avance au son de la harpe.
5 Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
Pourquoi craindrais-je dans les mauvais jours? C'est que l'iniquité de mes démarches m'assiégera.
6 Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
Ceux qui se fient en leur force et se glorifient de l'abondance de leurs richesses, qu'ils écoutent:
7 Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
Si le frère ne rachète pas son frère, un autre homme le rachètera-t-il? Non, et il ne donnera pas à Dieu la rançon de lui-même,
8 Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
Ni le prix de la rédemption de son âme. Travaillera-t-il éternellement,
9 Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
Et vivra-t-il sans fin?
10 Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
Ne verra-t-il pas la mort, lorsqu'il aura vu mourir les sages comme le stupide et l'insensé mourront? Et ils laisseront leurs richesses à des étrangers,
11 Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
Et le sépulcre sera pour toujours leur demeure; dans les générations des générations ils n'auront point d'autre abri, et ils auront donné leurs noms à leurs terres!
12 Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
Et l'homme élevé en honneur ne l'a pas compris; il est devenu comme les bêtes sans raison, et il s'est rendu semblable à elles.
13 Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
Pour ceux-là, leur propre voie est un piège; et après cela des gens vanteront ce qu'a dit leur bouche!
14 Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
Ils sont parqués en enfer comme des brebis; la mort s'en repaîtra, et au matin les justes auront pouvoir sur eux; et l'appui qu'ils se faisaient de leur gloire vieillira en enfer. (Sheol h7585)
15 Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
Cependant Dieu rachètera mon âme de la main de l'enfer, lorsqu'il m'aura reçu. (Sheol h7585)
16 Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
Ne crains point quand un homme se sera enrichi, et que la gloire de sa maison se sera multipliée.
17 Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
Car, lorsqu'il mourra, il n'emportera rien, et sa gloire ne descendra pas avec lui.
18 Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
Son âme aura été bénie en sa vie; et il t'aura rendu grâces, lorsque tu lui auras fait du bien.
19 naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
Il s'en ira où sont les générations de ses pères; et la lumière, il ne la reverra jamais.
20 Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.
L'homme élevé en honneurs ne l'a pas compris; il est devenu comme les bêtes sans raison, et il s'est rendu semblable à elles.

< Zaburi 49 >