< Zaburi 49 >

1 Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
Al la ĥorestro. De la Koraĥidoj. Psalmo. Aŭskultu ĉi tion, ĉiuj popoloj; Atentu, ĉiuj loĝantoj de la mondo,
2 wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
Kaj altrangulo kaj malaltrangulo, Riĉulo kaj malriĉulo kune.
3 Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
Mia buŝo diros saĝaĵon, Kaj la penso de mia koro prudentaĵon.
4 Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
Mi klinos mian orelon al sentenco; Sur harpo mi esprimos mian enigmon.
5 Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
Kial mi devus timi en tagoj de malbono, Kiam min ĉirkaŭas la malboneco de miaj persekutantoj,
6 Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
Kiuj fidas sian potencon Kaj fanfaronas per sia granda riĉeco?
7 Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
Fraton tute ne liberigos homo, Nek donos al Dio elaĉeton por li
8 Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
(Multekosta estus la elaĉeto de ilia animo, Kaj neniam tio estos),
9 Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
Ke li restu viva eterne, Ke li ne vidu la tombon.
10 Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
Oni ja vidas, ke saĝuloj mortas, Kaj ankaŭ malsaĝulo kaj sensciulo pereas Kaj lasas al aliaj sian havon.
11 Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
Ilia deziro estas, ke iliaj domoj ekzistu por ĉiam, Kaj iliaj loĝejoj de generacio al generacio; Ili nomas siajn bienojn laŭ siaj nomoj.
12 Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
Sed homo ne restas longe en honoro; Li egaliĝas al bruto buĉota.
13 Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
Tia estas ilia vojo, ilia espero, Kaj iliaj posteuloj aprobas ilian opinion. (Sela)
14 Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
Kiel ŝafoj ili estos metataj en Ŝeolon; La morto ilin paŝtos; Kaj matene virtuloj ilin ekposedos, Kaj ilia bildo pereos en Ŝeol, perdinte loĝejon. (Sheol h7585)
15 Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
Sed Dio liberigos mian animon el la mano de Ŝeol, Ĉar Li prenos min. (Sela) (Sheol h7585)
16 Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
Ne timu, kiam homo riĉiĝas, Kiam grandiĝas la gloro de lia domo.
17 Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
Ĉar mortante li nenion prenos; Ne iros post li malsupren lia honoro.
18 Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
Ĉar kvankam li ĝuigas sian animon dum sia vivado, Kaj oni vin laŭdas por tio, ke vi faras al vi bone,
19 naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
Tamen li iros al la generacio de siaj patroj, Kiuj neniam vidos lumon.
20 Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.
Homo, kiu estas en honoro, sed ne havas prudenton, Estas egala al bruto buĉota.

< Zaburi 49 >