< Zaburi 49 >
1 Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
You people of all ethnic groups, listen! You people all over the world,
2 wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
important people and unimportant people, rich people and poor people, everyone, [listen to what I am saying],
3 Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
[because] what I am thinking is very sensible, and what I say will enable you to become wise!
4 Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
I think about [MTY] (proverbs/wise sayings), and while I play my harp, I explain what they mean.
5 Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
I am not [RHQ] afraid when I am in trouble/danger, when I am surrounded by my enemies,
6 Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
by evil men who trust that [things will always go well for them because] they are wealthy, and who boast about being very rich.
7 Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
[They may be rich], but no one can pay money with the result that he would live forever! No one can pay God enough so that God will allow him [to continue] to live,
8 Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
because that cost is too great, and he will never be able to pay enough
9 Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
with the result that he will live forever and never [die and] be buried!
10 Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
We see that foolish and stupid people die, but we see that wise people also die; they all leave their wealth, and others inherit it.
11 Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
Those wise people once had [houses on] land that they owned, [but now] their graves are their homes forever, the place where they will stay for all time!
12 Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
Even if people are great, that cannot prevent them from dying; all people die, the same as animals do.
13 Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
That is what happens to those who foolishly trust [in what they have accomplished], to those who are delighted in [all] that they possess.
14 Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol )
They are certain to die just like sheep, when a shepherd leads them away to be slaughtered. [PRS, MET] In the morning righteous people will rule over them, and then [those wealthy people will die and] their bodies will quickly decay in their graves; they will be where dead people are, far from their homes. (Sheol )
15 Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol )
But it is certain that God will rescue me so that I am not kept in the place of the dead. (Sheol )
16 Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
[So], do not be dismayed when someone becomes rich and the houses where they live become more and more luxurious,
17 Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
because when he dies, he will take nothing with him; his wealth will not go with him.
18 Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
While [a rich person] is alive, he congratulates himself, and people praise him for being successful,
19 naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
but he will [die], joining his ancestors, who will never see daylight again.
20 Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.
Even if someone is great, that cannot prevent him from dying; he will die, the same as animals do.